Siwadai kitu wachezaji wa Simba Sc

Siwadai kitu wachezaji wa Simba Sc

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220426_05315674945.jpg
Hapa tunakipokea kikosi airport

Mimi na mashabiki wenzangu duniani kote licha ya matokeo ya jana,hatuwadai chochote kikosi cha Simba Sc

Kwa jinsi walivyocheza jihadi huku wakiwa pungufu ni dhahiri kwamba ahadi ya kutuvusha nusu haikuwa ahadi ya uongo, bali walimanisha.

Simba ilikuwa timu ya kupigwa 3 mpaka 5 ugenini. Wahuni waliziba njia zote muhimu wakaishia kagoli kamoja ka offside. Kumbuka walikuwa pungufu.

Mtu asiye na akili timamu pekee anaweza kuleta lawama na maneno ya kukatisha tamaa. Kama unaona timu yangu ni hovyo, ya kwako ilifika wapi? Kwani nyie hamjawekeza? Lakini mlifika wapi
 
Wamepamba kufia timu! Lakini bahat haikuwa upande wetu! Kocha alijisahau kufanya sub za wapiga penalt kina nyoni na bwalya! Ila mwisho tumefurahi walivyoonesha ustahimilivu wakushambuliwa dakika zote 90! Nikweli hatuwadai
 
Wanadaiwa na WaTz kwa kutuvunjia heshima na kuiletea sifa mbaya Taifa kwa uchawi.
Mikia mnajua kulialia tu,vipi kama lile lilikuwa goli la offside vipi ile ya goli lenu ilikuwa penati?. Vipi ile card ya mnayoilalamikia mgalu kupanda kwenye mguu,ingekuwa upande wenu ingekuwa ndio story ya vijiwe vyote vya mikia
 
View attachment 2200726
Hapa tunakipokea kikosi airport

Mimi na mashabiki wenzangu duniani kote licha ya matokeo ya jana,hatuwadai chochote kikosi cha Simba Sc

Kwa jinsi walivyocheza jihadi huku wakiwa pungufu ni dhahiri kwamba ahadi ya kutuvusha nusu haikuwa ahadi ya uongo, bali walimanisha.

Simba ilikuwa timu ya kupigwa 3 mpaka 5 ugenini. Wahuni waliziba njia zote muhimu wakaishia kagoli kamoja ka offside. Kumbuka walikuwa pungufu.

Mtu asiye na akili timamu pekee anaweza kuleta lawama na maneno ya kukatisha tamaa. Kama unaona timu yangu ni hovyo, ya kwako ilifika wapi? Kwani nyie hamjawekeza? Lakini mlifika wapi
#simbanguvu
 
Back
Top Bottom