OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii ni ID ya Utopolo, Gentra ni ID ya kuuma na kupulizaLakini Kuna timu inadaiwa na Mayele kuelekea April 30
Utopolo mlipata hata hilo la penati?Wewe nyumbani kwako uliishia kagoli ka aina gani? Unajifariji lakini roho inauma na ukweli unao moyoni mwako
Kitendo walichokifanya Simba kule SA ni cha aibu,aibu,aibu kupitilizaWACHAWI [emoji23]
#simbanguvuView attachment 2200726
Hapa tunakipokea kikosi airport
Mimi na mashabiki wenzangu duniani kote licha ya matokeo ya jana,hatuwadai chochote kikosi cha Simba Sc
Kwa jinsi walivyocheza jihadi huku wakiwa pungufu ni dhahiri kwamba ahadi ya kutuvusha nusu haikuwa ahadi ya uongo, bali walimanisha.
Simba ilikuwa timu ya kupigwa 3 mpaka 5 ugenini. Wahuni waliziba njia zote muhimu wakaishia kagoli kamoja ka offside. Kumbuka walikuwa pungufu.
Mtu asiye na akili timamu pekee anaweza kuleta lawama na maneno ya kukatisha tamaa. Kama unaona timu yangu ni hovyo, ya kwako ilifika wapi? Kwani nyie hamjawekeza? Lakini mlifika wapi
Basi kaeni kimya habari ya kubwatabwata na visingizio lukuki aviwezi kuwasaidia chochote kiufupi mmepakatwa na uwezo wenu uliishia apo, waliopambana kiume ni wale waliosonga mbele izo porojo nyingine hazina mantikiUtopolo mlipata hata hilo la penati?
Je , wewe hata hako ka upendeleo ulikapata zaidi kupigwa nyumbani na ugenini?Wewe nyumbani kwako uliishia kagoli ka aina gani? Unajifariji lakini roho inauma na ukweli unao moyoni mwako
We mwenyewe chale hadi mndukuniKitendo walichokifanya Simba kule SA ni cha aibu,aibu,aibu kupitiliza