Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Magufuli amelewa madaraka, na bila Kofi’s ya urais hata kwa yule DC mrembo atakua zilipendwa.
Jafo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli amelewa madaraka, na bila Kofi’s ya urais hata kwa yule DC mrembo atakua zilipendwa.
Mi nadhani hajaleta ukatoliki. Lakini inafahamika hii ni moja ya taasisi kubwa, na anayeongoza ni muumini wao.Umesema vema, ila hapo mwisho umechemka! Usituletee ukatoliki kwenye mambo ya kitaifa.
Shida pia Watanzania hatuji tambui. Maana hii ilitosha kumnyima kura zote ili tupate rais atakae apa kulinda katiba ya nchi bila ubaguzi kama huyu bwana wa CcmKinachowaweka kimya ni Ugali, pia hakuna wa kujitoa sadaka kwasasa zaidi ya wananchi wenyewe!
Kwa nchi yenyr mamilioni ya watu, haiwesi kukosa watu wendawazimu. Wewe ni miongoni mwao.Sioni tatizo hapo magufuli yuko sawa kabisa
Lazima uone Magufuli yuko sawa si pesa anayokupa ndiyo imejaza utumbo wako chakula.Magufuli yuko sawa tu shida ipo kwako na huyo yuda iskariote lisu
Mkimbizi wewe unacho cheti cha ikuzaliwa..hatutaki kipyaSioni tatizo hapo magufuli yuko sawa kabisa
Ndio maana wamejitungia sheria inayokamilisha udikteta eti wasishitakiwe kwa kuvunja katibaMimi mwenyewe nimekuwa nikilitafakari hili...
Hivi ana haki kikatiba kufanya hivyo??
Ni shetaniMkimbizi wewe unacho cheti cha ikuzaliwa..hatutaki kipya
Sky kwa Mujibu wa katiba yupo sawa anaeamua maendeleo yaende wapi na yasiende wapi ni Rais, kila siku Lisu anatupa hili somo ndiyo maana anasema hataki kuwa Rais kama marais waliotangulia. Jamaa hajakosea hata kidogo na akili zake zipo timamu.Kwasababu akili zako haziko sawa