Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.

Tena huyo msomi wako si wa pwani huyo, angekuwa wa pwani ndio kwanza angekoleza mkaa akifukiza maudi na ma liwa kichwani, kimyaaa kitandani. Na hiyo kukuuliza utakulahuli asingekuuliza, ungekuta sahani na vyombo vina mabaki ya chakula unachokipenda, kimeshaliwa. Mwenyewe ungeomba msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…