Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
We kula Kwa mchepuko shushia nyagi/pombe kali hafu ukirudi home mida mibaya unaomba game la kibabe hadi akushangae
 
Ukioa msomi hakikisha unamchepuko anayekupenda sanaaaa


Hawana thamani hao na hawajui kutimiza majukumu yao ya kijinsia huyo mkeo ndo alipaswa kuwa mchepuko wako na huyo mchepuko ndo alipaswa kuwa mkeo

Msomi akiwa mchepuko ht kulogwa ni kazi ila huwezi kuweka msomi wa kiwango hiko ndani utakuwa kichaaa wewe maana hao kwanzA wasafi nje ila ndani wachafu maana hawapendi kaZi,hawajui kupika wengi wao zaidi ya kujaza mafuta kwenye chakula, kibri, wengi wao ht mileage zinasoma sana maana wametumika sehemu mbalimbali nakuachika,hwn sociAl skills anaweza kukutia aibu ht ukiendanae msibAni,hawajui maisha wanawaza mawigi tu

Kwanini tusiwafanye michepuko sababu akili zao zipo matakoni na kwenye mawigi kweli wengi wao ni wazuri kweli kweli
 
Mtazamo hasi

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂Pole jamani. Hilo jibu ningelia
 
Mwambie asihangaike kupika hutorudi
 
Unaonekana ww nimkorofi sana!
badala ya kushauri usuluhishi ww ndio unachochea!
huoni kwamba huyo mwanamke ni potential single mother
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nimecheka
Kuna rfk angu anateseka na wala hajaoa msomi!
Hapikiwi ,hafuliwi,habembelezwi,kazi yake ngumu, na hata tunda hapewi na mwanamke sio msomi kabisa mama wa nyumbani, utatuambia nn hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heeee[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Na mapenzi yakaendelea au sio..?
 
Kwanini yasiendelee chezea kupenda wewe
Ukweli ni kwamba hakuna tofauti kati ya K ya msomi na isiyo ya msomi.

Hongera Mkuu kwa kuwa muelewa,, utadumu sana na Stress zitapungua.
 
Ana akili sana huyo dada mkioa mke asiiye na kazi anakutegemea kwa kila kitu mnamnyanyasa ,hapo ndiyo panawafaa, mwanaume mzima unasusaje? Ndiyo nyie unasusa misosi yote ,mwanaume mkomavu hasusi chochote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…