Iblis Bin Shetan JF-Expert Member Joined Sep 24, 2018 Posts 1,824 Reaction score 2,445 Nov 3, 2024 #21 Jasmoni Tegga said: Haiwezekani kamwe katu Iblis Bin Shetan awe malaika wa peponi akifiapo uzeeni. Sasa wewe ni nani? Click to expand... Ibils alikuwa rafiki wa MUNGU siku zote na siku ya ufufuo atawakana kwa kumzushia mambo wakati Mungu na Iblis daily marafiki na wanapanga mambo pamoja
Jasmoni Tegga said: Haiwezekani kamwe katu Iblis Bin Shetan awe malaika wa peponi akifiapo uzeeni. Sasa wewe ni nani? Click to expand... Ibils alikuwa rafiki wa MUNGU siku zote na siku ya ufufuo atawakana kwa kumzushia mambo wakati Mungu na Iblis daily marafiki na wanapanga mambo pamoja
M45 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 1,110 Reaction score 1,462 Nov 3, 2024 #22 Hamna cha wasanii wala wacheza ngoma,kwenye suala la Imani na mambo ya Mungu,binaadamu wote ni fungu moja,hivyo kila mmoja anawajibika kuitetea nafsi yake bila kujali utambulisho wake katika hii dunia.
Hamna cha wasanii wala wacheza ngoma,kwenye suala la Imani na mambo ya Mungu,binaadamu wote ni fungu moja,hivyo kila mmoja anawajibika kuitetea nafsi yake bila kujali utambulisho wake katika hii dunia.
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Nov 3, 2024 #23 blogger said: Ile mihogo kuna kipindi inkataa.. unaondoka ghafla Click to expand... Yeah