Siwema atoa machozi ya furaha baada ya kuona nyumba mpya ya Ney

Hongera kwake but hiyo nyumba wameinnovate au ? coz naona dish la TV ambalo kwa sasa hayo hayatumik sasa cjui alilinua wakati ameanza kujenga au alilikuta lipo so inabid aliache kama alivyolikuta

Mkuu we sikilizia tuu utakuja ushituke baadae kumbe walikuwa wanafanya movie so movie ikiisha watarudisha nyumba ya watu
 
Siwema mchumba wa mitego na mitego nae mchumba wa nani? Maana mi nawaona wote wachumba tu!..
 
Bustani ya hiyo nyumba na hilo Dish linaonekana ni nyumba ya 5yrs hivi toka imejengwa...amenunu
 


Ametupia hii picha kwenye wall yake ya facebook na instagram na kusema ni mjengo wake mpya. Binafsi nampongeza kwa kupiga hatua. Sanaa ni kazi kama kazi zingine. Ila....
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1402770369.012585.jpg
    76.6 KB · Views: 1,431
Bustani ya hiyo nyumba na hilo Dish linaonekana ni nyumba ya 5yrs hivi toka imejengwa...amenunu
Nimemsikia leo akihojiwa, amesema alinunua nyumba kwa 70 M, then ndio akaifanyia makeke.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hongera kwake but hiyo nyumba wameinnovate au ? coz naona dish la TV ambalo kwa sasa hayo hayatumik sasa cjui alilinua wakati ameanza kujenga au alilikuta lipo so inabid aliache kama alivyolikuta

Mkuu hapo kwenye bold unamaanisha nini? Ni nani kwamba hayatumiki ni TCRA au? Huenda hukuwaelewa mkuu yanatumika sana tu, mimi natumia mpk sasa!
 
Hongera kwake but hiyo nyumba wameinnovate au ? coz naona dish la TV ambalo kwa sasa hayo hayatumik sasa cjui alilinua wakati ameanza kujenga au alilikuta lipo so inabid aliache kama alivyolikuta

Bingo mov.....
 

Mmjj samahani. JAMANI
HUYU JAAMAAPEMBENI KULIA YUKOSAWA KWELI..SIO WALE MAMBO YETU YA ANGLIKANA
 
Nyumba ni mzuri ila fupi sana. Baada ya muda itachukiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…