Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Hongera kwake but hiyo nyumba wameinnovate au ? coz naona dish la TV ambalo kwa sasa hayo hayatumik sasa cjui alilinua wakati ameanza kujenga au alilikuta lipo so inabid aliache kama alivyolikuta
Mkuu we sikilizia tuu utakuja ushituke baadae kumbe walikuwa wanafanya movie so movie ikiisha watarudisha nyumba ya watu



