Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Wee CCM kaa kimya!
 
Wewe Umefanya nini mpaka Sasa au ndio nyumbu muoga
Suala la msingi ni kwamba wewe pigania yule unayedhani anafaa kwenda ikulu na mwingine/wengine wapiganie yule wanayedhani anafaa kwenda ikulu. Zingine zote ni porojo za kutafuta "attention."
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Ni kosa kubwa kuwasaidia wana siasa kazi yao ,kila mtu afanye kazi aliyoichagua ,mimi siwezi kwenda mkutano wa hadhara kumsikiliza mwanasiasa ,habari zake ntakutana nazo mtandaoni ,niko busy nafanya kazi niliyochagua.Kuhusu kuandamana ndio sitaki kusikia.NAUNGA MKONO HOJA, wanasiasa wakimaliza press wanaandikiana posho
 
Even wenyewe hawataki wapiganiwe. Wanataka mjipiganie, wkt vijana wa kemya na bangladesh wanahangaika hawakuwa na mwanasiasa akiwaongoza, mpaka leo hakuna mwanasiasa
Walipigana wenyewe,, sasa wewe endelea kuamini mwanasiasa atakueletea mabadiliko
Shida ipo pale siasa inapogeuka ajira ya kudumu.
Maokoto ndani ya siasa ndio kansa inayovitafuna vyama vya siasa.

Mfano mzuri ni Laila Odinga, kila uchaguzi anadai kaibiwa kura,anaitisha maadamano,wananchi kwa wingi wanaingia barabarani,polisi inapambana vikali na waandamanaji,mamia wanajeruhiwa na wengine wanapoteza maisha.

Baadae Laila huyo huyo anakuja na handshake wanamuingiza kwenye serikali kinyemela, anapewa mpunga mwingi wa kumfunga mdomo,lakini waliomuunga mkono wakapigwa wakaumizwa,wakafungwa na wengine kupoteza maisha wanaambulia patupu.

Mwanasiasa mtaji wake mkuu ni watu yaani wafuasi.Hasa pale anapotaka kushindikiza mamlaka.
Akishapata hayo mamlaka sio mwenzenu tena.Na akiona mnamzonga anatengeza machawa,mchezo umekwisha.
 
Sawa unachoweza ni kuingia barabarani ili kuuza Bandari zetu na maliasili zingine.
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Halafu Lissu alisema watoto wake ni wamarekani na lema familia yake iko Canada. Wakawalete watoto wao waandamane kwa faida ya baba zao.
 
Watanzania Wengi hamjui lolote kuhusu nchi yenu na viongozi wanajua hilo hivyo nyie tulieni muendelee kugumia kitakuja kizazi kingine sio hiki chenu hicho kizazi kikija miaka 300 ijayo kitajenga nchi hii viongozi watajua hawa wanatuona na wanaeleewa hawatakubali ujinga ujinga.

Nyie wa sasa hamjui kitu na hata hao wapinzani hivi mtu mwenye akili ataandamana kisa Mbowe??? Mbowe sio mpinzani hivi nyie hamuelewi nn??? Mbowe hajawahi kuwa mpinzani anaitumia chadema kama duka lake binafsi. MTU mwingine akiinuka kidogo humfanyie Fitna na kumuondoa kwa kutumia machawa wake.
Hata sasa Wakina Lissu awataondoa .
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Hata hao wapinzani hawakuhitaji wala hawana muda na wewe.
 
Umelazimishwa na nani ku comment?
Screenshot_20240825-072032.jpg
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Wewe ni MAITI hata kabla hujapigwa risasi.
 
Back
Top Bottom