reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Aseehh....Wanawake siye huzuniHawa viukbe ,ke Ni shida Kuna jamaa angu nae wameachana na demu wake kiss mama ake jamaa kuwa mgonjwa ,mwanake anawaza je nikiolewa na huyu jamaa c nitatakiwa kulea mama ake na kuangaika nae had mwisho
Demu alifikiria akaone siyo ishu huyo kasepa zake
Hawa wanawake Ni kuwa nao kwa makini ukiweza kumzalisha mwanamke Kam unaona magumashi ingia mitini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app