NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Sitaki unafiki, ntampa rafiki konekshen ya kazi kwa masharti mawil tu:
1. Nikisikia kuna nafasi ndani ya sehemu nayofanya kazi ila haiingiliani na ofisi ama kitengo changu ninatoa koneksheni, mfano mimi nipo ofisi ya ufundi kuna nafasi ya ufagiaji ama udaktari nitasaidia, nafasi hizi muingiliano haupo ama ni mdogo sana, siwezi kutoa koneksheni uje tuwe ofisi moja ama uwe na kazi tunayoingiliana mfano mimi kupokea maelekezo yako au kinyume, NEVER!
2. Nikisikia kuna nafasi sehemu nyingine nitatoa msaidia hata kama kazi zetu zitafanana. Tofauti na hivyo, Bora nimpe mtu ninaemfahamu tu Ila sio rafiki yangu.
SABABU:
- Ni hatari kuwa sehemu moja na rafiki anaejua siri zako na madhaifu mengi, ukiunganisha jinsi nae anavyoitamani nafasi yako ili apokee mshahara kama wako, anaweza kutumia hivi vitu kuchukua nafasi yako,
- Mmoja wenu anapandishwa cheo mara kwa mara ila mwengine kabaki pale pale inaweza kuzaa chuki moyoni japo kuchekeana kinafki usoni.
1. Nikisikia kuna nafasi ndani ya sehemu nayofanya kazi ila haiingiliani na ofisi ama kitengo changu ninatoa koneksheni, mfano mimi nipo ofisi ya ufundi kuna nafasi ya ufagiaji ama udaktari nitasaidia, nafasi hizi muingiliano haupo ama ni mdogo sana, siwezi kutoa koneksheni uje tuwe ofisi moja ama uwe na kazi tunayoingiliana mfano mimi kupokea maelekezo yako au kinyume, NEVER!
2. Nikisikia kuna nafasi sehemu nyingine nitatoa msaidia hata kama kazi zetu zitafanana. Tofauti na hivyo, Bora nimpe mtu ninaemfahamu tu Ila sio rafiki yangu.
SABABU:
- Ni hatari kuwa sehemu moja na rafiki anaejua siri zako na madhaifu mengi, ukiunganisha jinsi nae anavyoitamani nafasi yako ili apokee mshahara kama wako, anaweza kutumia hivi vitu kuchukua nafasi yako,
- Mmoja wenu anapandishwa cheo mara kwa mara ila mwengine kabaki pale pale inaweza kuzaa chuki moyoni japo kuchekeana kinafki usoni.