Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Kuna kitu kimefanya aseme hvo sema tu siku zote ukifanya maamuzi ukiwa na hasira..Uchawi sio lazima upae na ungo usiku, hata hayo mawazo yako ni uchawi tosha.
Hii yote inadhihirisha jinsi usivyojiamini, yule rafiki unayemsaidia wewe ndie atakaye wasaidia wengine hata kama sio wewe direct.
Hivo watu wema ndo wanashea "blessings"
Unapom-lift mtu in another way na wewe unakuwa lifted.
Kumbuka: kipimo unachompimia mwenzio nawe ndo utapimiwa hichohicho au kitasukwasukwa(kitajazwa) iwe ni mema au mabaya.