Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
ni kauli za wafanyabiashara wa mapenzi hizo ambao hivi sasa wengi miongoni mwao wanajuta na kuteseka kwa namna ambavyo biashara hiyo imewaharibu na kubomoa huko chini kwa namna ya ajabu sana 🐒
View attachment 3178315WANAWAKE, kila unapohisi mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo, na ukashawishika kusema AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”
Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
Mbona leo Mapema , au umeshaenda uchagani kuhesabiwa?Usiku mwema
Joseph ni mfano wa kuiga, kwa sasa ni bodaboda ndio wanakula kila aina ya "m" na wanalipwa!Maria na uzri + ubikra wake alinasa kwa Fundi Selemala.
Acheni kuchagua chagua.
Gen Z hawatusikilizi sisi ma'kungwi.Itaingia huku, itatoka kule...
WANAWAKE, kila unapohisi na kutaka mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo wala fedha , na ukashawishika kusema MWANAUME AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”
MWANAMKE tanguliza mapenzi, fedha zitakuja tu!
Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
Ya 21, na wengi wanajifunza hapa jukwaani.Haya maneno unamwambia mwanamke wa karne ipi?
Naomba kutofautiana na wewe, mimi siyo, sijawahi kuwa na sitokuwa. Wapo wengi wazuri na wapo wabaya.Wanawake wote ni malaya, wanatofautiana mbinu tuu
Unadhani Me na Ke tukiwa sawa kiuchumi dunia itakuwa salama?Ya 21, na wengi wanajifunza hapa jukwaani.