Siwezi Kutoka na Mwanaume asiye na Hela!

Siwezi Kutoka na Mwanaume asiye na Hela!


WANAWAKE, kila unapohisi na kutaka mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo wala fedha , na ukashawishika kusema MWANAUME AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”

MWANAMKE tanguliza mapenzi, fedha zitakuja tu!

Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
Very true, broke women na those wasio ambitious in life ndiyo wana complicate maisha. Kila dakika wanabadili status kutafuta mtu wa kuwatunza na kuwaweka mjini. Mwanamke anayejiamini hawezi hata siku moja kujidhalilisha na kuongea utumbo wa namna hii.
 

WANAWAKE, kila unapohisi na kutaka mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo wala fedha , na ukashawishika kusema MWANAUME AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”

MWANAMKE tanguliza mapenzi, fedha zitakuja tu!

Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
.Tattizo wanawake wa leo wanapenda watu kwa kile kizuri wanachokiona kwa macho mfano gari nyumba nzuri, n.K bila kujali mtu mwenye upendo.
 
Very true, broke women na those wasio ambitious in life ndiyo wana complicate maisha. Kila dakika wanabadili status kutafuta mtu wa kuwatunza na kuwaweka mjini. Mwanamke anayejiamini hawezi hata siku moja kujidhalilisha na kuongea utumbo wa namna hii.
Well narrated, haya ndio maisha na hao huwa hawadumu kwenye ndoa.
 
.Tattizo wanawake wa leo wanapenda watu kwa kile kizuri wanachokiona kwa macho mfano gari nyumba nzuri, n.K bila kujali mtu mwenye upendo.
Na upendo huwa haujalishi mali , pia wapo wenye hizo mali na upendo pia.
 
Back
Top Bottom