Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nilichoandika ndio ukweli wenyewe.Naomba kutofautiana na wewe, mimi siyo, sijawahi kuwa na sitokuwa. Wapo wengi wazuri na wapo wabaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichoandika ndio ukweli wenyewe.Naomba kutofautiana na wewe, mimi siyo, sijawahi kuwa na sitokuwa. Wapo wengi wazuri na wapo wabaya.
Mpwa wamekupiga tukio?Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
Kwa niaba ya my BFF.Mpwa wamekupiga tukio?
Tuna muda sasa hata wa kusikiliza mkuuItaingia huku, itatoka kule...
Very true, broke women na those wasio ambitious in life ndiyo wana complicate maisha. Kila dakika wanabadili status kutafuta mtu wa kuwatunza na kuwaweka mjini. Mwanamke anayejiamini hawezi hata siku moja kujidhalilisha na kuongea utumbo wa namna hii.
WANAWAKE, kila unapohisi na kutaka mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo wala fedha , na ukashawishika kusema MWANAUME AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”
MWANAMKE tanguliza mapenzi, fedha zitakuja tu!
Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
.Tattizo wanawake wa leo wanapenda watu kwa kile kizuri wanachokiona kwa macho mfano gari nyumba nzuri, n.K bila kujali mtu mwenye upendo.
WANAWAKE, kila unapohisi na kutaka mwanaume akupe pesa au akununulie kitu lakini hana uwezo wala fedha , na ukashawishika kusema MWANAUME AMEFULIA au ANAUMI-MI, Jipige kifua chako na ujiambie: “HAPANA, MIMI NDIYE NIMEFULIA KWA SABABU SIWEZI KUMUHIDI NINACHOTAKA BINAFSI..”
MWANAMKE tanguliza mapenzi, fedha zitakuja tu!
Kwa bahati mbaya Broke Women NEVER Believe they are broke, wanadhani wanatoka kimapenzi na mwanaume asiye sahihi kwake..
Fanya kazi uwe na pesa zako dada, PESA NI UNISEX !...
Well narrated, haya ndio maisha na hao huwa hawadumu kwenye ndoa.Very true, broke women na those wasio ambitious in life ndiyo wana complicate maisha. Kila dakika wanabadili status kutafuta mtu wa kuwatunza na kuwaweka mjini. Mwanamke anayejiamini hawezi hata siku moja kujidhalilisha na kuongea utumbo wa namna hii.
Na upendo huwa haujalishi mali , pia wapo wenye hizo mali na upendo pia..Tattizo wanawake wa leo wanapenda watu kwa kile kizuri wanachokiona kwa macho mfano gari nyumba nzuri, n.K bila kujali mtu mwenye upendo.
Broke women the Kajala type na Wema are pathetic to date.Well narrated, haya ndio maisha na hao huwa hawadumu kwenye ndoa.