Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE:
Alifika mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda mbeya,
Mke akamuuliza kuna nini?? Akajibu mama amefariki..
Mke akamwambia mi siwezi kwenda kilioni nikiwa hivi, akaenda saluni akaweka nywele vizuri na kubandika kope za macho, aliporudi akaanza kupanga nguo, akamuuliza mmewe hv mama yako amefariki na nini??
Mume wake akamwambia mama yangu hana kitu nimetoka kuongea nae sasa hv...
Mke akahamaki si umeniambia kuwa kuna msiba?? Akajibiwa kuwa mama yako ndio kafariki, mke akaanza kugalagala na kupiga kelele, niwahishe haraka nyumbani nikamzike mama nisije kuta wamezika.,
Mume wake akamwambia siwezi kwenda msibani nikiwa hv..subiri nikanyoe ndevu...
Alifika mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda mbeya,
Mke akamuuliza kuna nini?? Akajibu mama amefariki..
Mke akamwambia mi siwezi kwenda kilioni nikiwa hivi, akaenda saluni akaweka nywele vizuri na kubandika kope za macho, aliporudi akaanza kupanga nguo, akamuuliza mmewe hv mama yako amefariki na nini??
Mume wake akamwambia mama yangu hana kitu nimetoka kuongea nae sasa hv...
Mke akahamaki si umeniambia kuwa kuna msiba?? Akajibiwa kuwa mama yako ndio kafariki, mke akaanza kugalagala na kupiga kelele, niwahishe haraka nyumbani nikamzike mama nisije kuta wamezika.,
Mume wake akamwambia siwezi kwenda msibani nikiwa hv..subiri nikanyoe ndevu...