Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Haka kamama kangu kana mdomo...ni kachangamfu na anajitahidi kuwa mke mwema. Siku moja kasikia habari kuwa natoka na msichana mmoja kazini...hazikuwa habari za kweli. Nikafika nyumbani usiku kakanirukia na kunikwida...aii...nikamnyanyua mzima mzima na kumbana ukutani, mikono yake nyuma. Nilimuangalia machoni na kusema "Please don't test me...." kakaanza kulia. Hajarudia 13 years now.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadeki