Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

Haka kamama kangu kana mdomo...ni kachangamfu na anajitahidi kuwa mke mwema. Siku moja kasikia habari kuwa natoka na msichana mmoja kazini...hazikuwa habari za kweli. Nikafika nyumbani usiku kakanirukia na kunikwida...aii...nikamnyanyua mzima mzima na kumbana ukutani, mikono yake nyuma. Nilimuangalia machoni na kusema "Please don't test me...." kakaanza kulia. Hajarudia 13 years now.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadeki
 
Sijawahi kumpiga mke wangu....Ndoa ya miaka 8 sasa, plus dating kama wapenzi miaka 5, jumla miaka 13.
Huwa nampiga kwa ile fimbo ya nyama tuliyobarikiwa nayo wanaume.
Huwa akinikosea namuacha kwanza, namuangalia tuu... Baadae nikimkamata namsukumizia kipande cha nyama kwa hasira na spidi ya hatari, hadi anatoa machozi na anaomba msamaha mwenyewe, anasema nisamehe mume wangu sirudii tena.
Umetisha kwa hilo
 
Mmeamkaje?

Tulizoea wazee wa zaman wakijisifu kuwa kumpiga mwanamke ni kumnyoosha. Sasa cha ajabu kumbe bado ipo hii issue juzi kuna jirani yangu kapigwa night na mumewe yaan kipigo kweli, kiasi kwamba tukajua tukiamka atakuwa ameondoka lakini cha ajabu tunamwona anaenda sokoni huku USO wake kauzungushia kanga nahisi jamaa alikuwa anapiga za uso tu yan vichwa kwa sana (Kimoyomoyo nikajisemea mwanamke mwenzangu anamoyo kweli).

Za chini chini nasikia kapigwa kisa anapenda kuwa na mashost so kati ya shost mmoja kamletea habari that mumewe anakula mama mchungaji nadhani ile fikisha ujumbe kwa mume ndo iliyomponza. Sijui alifikisha shingo ikiwa imerefushwaa? Yaani daa.

Siyo lazima mtupige jamani, hivi kinachopelekea mpaka mnyooshe mkono kutupiga ni nini wakati kuelewana kwa maongezi inawezekana?
Shida ni kwamba ukipewa uhuru saaana huwa mnajisahau na kuona hamuwezi kufanya chochote, hilo ni kosa la kiufundi mnalolifanya kwa makusudi au kutokujua, mwisho wa siku mwanaume lazima utaona anakushushia kipondo middle weight ili kukuweka sawa na kukukumbusha kwamba mstari huu usivuke...
Ugonile
 
Sijawahi piga mke Wala mpenzi Nina ndoa ya miaka 14

Sijawahi piga mke Wala mpenzi Nina ndoa ya miaka 14

Sijawahi kumpiga mke wangu....Ndoa ya miaka 8 sasa, plus dating kama wapenzi miaka 5, jumla miaka 13.
Huwa nampiga kwa ile fimbo ya nyama tuliyobarikiwa nayo wanaume.
Huwa akinikosea namuacha kwanza, namuangalia tuu... Baadae nikimkamata namsukumizia kipande cha nyama kwa hasira na spidi ya hatari, hadi anatoa machozi na anaomba msamaha mwenyewe, anasema nisamehe mume wangu sirudii tena.
Angalieni na ombeeni tu siku mkija kuwapiga isiwe kwa panga au gunia za mkaa
 
Shida ni kwamba ukipewa uhuru saaana huwa mnajisahau na kuona hamuwezi kufanya chochote, hilo ni kosa la kiufundi mnalolifanya kwa makusudi au kutokujua, mwisho wa siku mwanaume lazima utaona anakushushia kipondo middle weight ili kukuweka sawa na kukukumbusha kwamba mstari huu usivuke...
Ugonile
Ndagha kalumbu
 
Back
Top Bottom