Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli...lakini kupigwa jamani mimi hapana naomba Mungu isijenikuta na ndio maana mara zote huwa najitahidi sana kujishusha maugomvi siwezag ndio ikawe kipigo
Kabla mke hajatulia ndani, huwa anachezea kwanza kidogo. Akishachezea ndio anatulia. Mkuu hii ID ni mpya lakini mwandiko wa zamani[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa wewe.
 
hivi mwanamke anakuambia "" katika wanaume na wewe unajiita mwanaume?""
[emoji23][emoji23] afu mbele za majirani


Nimeshuhudia rafiki yangu anaambiwa na mke wake kuwa "" ndo mana hata kut***ba hujui mwanaume suruali ww""[emoji23][emoji23]

aaah weee jamaa alipiga nusu kuuua

anyway Tuwatunze na kuwajali wake zetu
nashukuru huyu wangu hayuko perfect so am i but we are happy
 
[emoji23][emoji23] kama una mkono mwepesi mwanamke wa hivyo unaweza ua kwa kipigo.
 
Aisee hawa viumbe wanazingua sanaa
 
Hahahahahaha...!!! Noma sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…