Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Uko sahihi kabisa mamito japo wakati mwingine na sisi wanawake huwa tunawaprovoke mno wanaume wetu.Mwanaume anaepiga mwanamke anamatatizo ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa mamito japo wakati mwingine na sisi wanawake huwa tunawaprovoke mno wanaume wetu.Mwanaume anaepiga mwanamke anamatatizo ya akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC
Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau
Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
Kabla mke hajatulia ndani, huwa anachezea kwanza kidogo. Akishachezea ndio anatulia. Mkuu hii ID ni mpya lakini mwandiko wa zamani[emoji23]Kweli...lakini kupigwa jamani mimi hapana naomba Mungu isijenikuta na ndio maana mara zote huwa najitahidi sana kujishusha maugomvi siwezag ndio ikawe kipigo
Nmechange jina bana wee kaone [emoji23][emoji23]Kabla mke hajatulia ndani, huwa anachezea kwanza kidogo. Akishachezea ndio anatulia. Mkuu hii ID ni mpya lakini mwandiko wa zamani[emoji23]
Kutoka jina gani kuja Kelsea? Manake huu mwandiko ni wa zamani halafu kama naujua vile[emoji23]Nmechange jina bana wee kaone [emoji23][emoji23]
Acha uchokoziMmmh mbona unaokana kwenye Avatar yako wewe ndio umepigwa
Tulia wewe [emoji23]Kutoka jina gani kuja Kelsea? Manake huu mwandiko ni wa zamani halafu kama naujua vile[emoji23]
Everglow ilikuaKutoka jina gani kuja Kelsea? Manake huu mwandiko ni wa zamani halafu kama naujua vile[emoji23]
Hapo sawa, manake ni mwandiko ninaoujua!Everglow ilikua
Upo vzuri [emoji23]Hapo sawa, manake ni mwandiko ninaoujua!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upo vzuri [emoji23]
ni kweli.
Ukiona mambo yamebadilika kuachana ndo njia sahihi.
masuala ya kupigana mtapelekana makaburini na jela bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa wewe.Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC
Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau
Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
[emoji23][emoji23] kama una mkono mwepesi mwanamke wa hivyo unaweza ua kwa kipigo.hivi mwanamke anakuambia "" katika wanaume na wewe unajiita mwanaume?""
[emoji23][emoji23] afu mbele za majirani
Nimeshuhudia rafiki yangu anaambiwa na mke wake kuwa "" ndo mana hata kut***ba hujui mwanaume suruali ww""[emoji23][emoji23]
aaah weee jamaa alipiga nusu kuuua
anyway Tuwatunze na kuwajali wake zetu
nashukuru huyu wangu hayuko perfect so am i but we are happy
Aisee hawa viumbe wanazingua sanaahivi mwanamke anakuambia "" katika wanaume na wewe unajiita mwanaume?""
[emoji23][emoji23] afu mbele za majirani
Nimeshuhudia rafiki yangu anaambiwa na mke wake kuwa "" ndo mana hata kut***ba hujui mwanaume suruali ww""[emoji23][emoji23]
aaah weee jamaa alipiga nusu kuuua
anyway Tuwatunze na kuwajali wake zetu
nashukuru huyu wangu hayuko perfect so am i but we are happy
Hahahahahaha...!!! Noma sana aiseehivi mwanamke anakuambia "" katika wanaume na wewe unajiita mwanaume?""
[emoji23][emoji23] afu mbele za majirani
Nimeshuhudia rafiki yangu anaambiwa na mke wake kuwa "" ndo mana hata kut***ba hujui mwanaume suruali ww""[emoji23][emoji23]
aaah weee jamaa alipiga nusu kuuua
anyway Tuwatunze na kuwajali wake zetu
nashukuru huyu wangu hayuko perfect so am i but we are happy