Siyo lazima uwe mlokole

Siyo lazima uwe mlokole

MHUBIRI 12:1-3​

1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
2 Kabla jua, na nuru, na mwezi, Na nyota, havijatiwa giza; Kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;
3 Siku ile walinzi wa nyumba watakapotetema; Hapo wenye nguvu watakapojiinamisha; Na wasagao kukoma kwa kuwa ni haba; Na hao wachunguliao madirishani kutiwa giza;
Amina
 
"Siyo lazima uwe mlokole ndiyo utende mema,waweza kuwa mwema tu kimatendo na kimaneno bila kujiita mlokole....yatupasa kutenda mema"

Imenibariki sana,walokole ni viumbe wanafki wengi wao,siyo wote.
Napenda kutenda mema ila cpnd kuwa mlokole
Hakika na ndiyo ukweli
 
Back
Top Bottom