Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni nani?
Pole Ronaldo katokaNilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
Pele alicheza kipind watu wengi walikuwa ni mapoyoyo , Pele angecheza sa hv angepata taabu SanaNilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
La kipindi hiki hasa mwaka huuDaah umefika mbali sana, world cup before messi zilikua upuuzi? Kila era na msisimko wake na watu wake
Aah sema kweliNi mumeo huyo aliekutoa usichana
Dunia haitaisha wapuuzi, badala kuzingatia mechi watu hua wanaenda kutafuta moment zao na kuendekeza mihemko yao. Alvarez ndio aliekua Hero wa Argentina kwa mechi ya jana.
Hahaha haya bhana...emotions zinakua juu unakua uelewi..View attachment 2446052
Nimeona nikuwekee picha hizi mbili... kama mashabiki walisema hivi kwa Origi... yeye kusema hivyo yupo sawaa tuu maana mpira ni ushabikiView attachment 2446053
ahaa kumbe umemuona Messi kwenye mechi 1 tu na imekutosha kumjaji career yake yote ya miaka 18??Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
Mda mwinginwe tuache ushabiki twende kwa namba tu zisizodanganyaYaani hawa messi na Ronaldo bwana ni kama huku kwetu simba na yanga yaani makubwa yote anayofanya na aliyofanya giroud kwenye world cup iliyopita na hii watu wamekaa kimya ila akifanya messi au Ronaldo kelele kibao
Ndo hivyo MkuuHahaha haya bhana...emotions zinakua juu unakua uelewi..
Mm mwenyewe namkubali messi, ila nikaona tu daaah tuwekane sawa.
Nimekusoma.
ukiona mtu anaanza kutukana badala ya kuleta hoja jua hana hoja.