Siyo mpenzi sana wa Soka lakini itoshe kusema kwamba he is a G.O.A.T!

Siyo mpenzi sana wa Soka lakini itoshe kusema kwamba he is a G.O.A.T!

Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
Pole Ronaldo katoka
 
LA PULGA
Screenshot_20221214-061156.jpg
 
Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
Pele alicheza kipind watu wengi walikuwa ni mapoyoyo , Pele angecheza sa hv angepata taabu Sana
 
Most goals:
◉ 5 - Messi
◎ 5 - Mbappé

Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann

Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé

Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann
 
Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.

Malalamiko yakizidi muone daktari
 
Dunia haitaisha wapuuzi, badala kuzingatia mechi watu hua wanaenda kutafuta moment zao na kuendekeza mihemko yao. Alvarez ndio aliekua Hero wa Argentina kwa mechi ya jana.
 
Most goals:
◉ 5 - Messi
◎ 5 - Mbappé

Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann

Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé

Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann

He is a genius!

 
Dunia haitaisha wapuuzi, badala kuzingatia mechi watu hua wanaenda kutafuta moment zao na kuendekeza mihemko yao. Alvarez ndio aliekua Hero wa Argentina kwa mechi ya jana.

Uliona goli la Pili? Kama haukuwa moved na Messi na Goli la pili basi tafuta hobby nyingine kama soka ni hobby yako!

 
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.

2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.

2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]

Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
 
Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
ahaa kumbe umemuona Messi kwenye mechi 1 tu na imekutosha kumjaji career yake yote ya miaka 18??
bathi thawaaaa
 
Yaani hawa messi na Ronaldo bwana ni kama huku kwetu simba na yanga yaani makubwa yote anayofanya na aliyofanya giroud kwenye world cup iliyopita na hii watu wamekaa kimya ila akifanya messi au Ronaldo kelele kibao
Mda mwinginwe tuache ushabiki twende kwa namba tu zisizodanganya

Giroud amechangia timu yake magoli mangapi na Messi mangapi?
 
Back
Top Bottom