msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Mchawi sio lazma apae na ungo... hata watu wenye roho mbaya na wasipoenda maendeleo ya watu na wanachekelea mtu akifeli jambo pia ni mchawi...Mpaka sasa uzi una replies 20 tu [emoji23] [emoji23] [emoji1787] [emoji1787]
Wana JF shikamoo hawatoi kiki za kishamba [emoji23]
Wee nawee!!!! Ujinga umekujaa mno.Fumbo mfumbie mjinga. Aliyoandika ni wazi kabisa. Kinachosumbua hapa ni ujinga wako tu. Hakuna fumbo.
Nini wewe Jikite kwenye mada wewe Acha porojo jamviniVipi mbona unaongea kimafumbo!? Unaogopa nini?
Tufumbulie wewe,yaonekana anaongea na wachache weerevu pekee.Vipi mbona unaongea kimafumbo!? Unaogopa nini?
Wamefanywa Nini na CCM hao watu?..ccm watalipinga hili kwa nguvu zote.
..sijui Ben Saanane, na Azory Gwanda, waliwakosea nini.
Dah Bibie yani wewe pekee yake kila siku kwenye mijadala ya wanaume. Ebu njoo hapa mara moja tuWee nawee!!!! Ujinga umekujaa mno.
Wapi nimemwambia sijamuelewa?
Mimi nimemuuliza kwanini anaongea kwa mafumbo
Jon mijadala ya wanaume ni ipi na ya wanawake ni ipi?Dah Bibie yani wewe pekee yake kila siku kwenye mijadala ya wanaume. Ebu njoo hapa mara moja tu
Hongera sana kwa kuijua njia iliyo sahihi kupitaNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
[emoji870] tena kwa wana ccmTuendelee kunywa mtori nyama zipo ndani
Mayalla uteuzi ataisikia tbc tuuPascal Mayalla
Sheitwan kaburaUsoni kama mtu kumbe shetani la mguu mmoja.
Kwa taarifa yako huyo ni kada kindaki ndaki, ukiona anayasema haya ujue hali ndani ya ccm ni tetekuwangaMbona unaongea kwa mafumbo[emoji41][emoji41][emoji41]
Hata bundle hanaPascal Mayalla tunaomba maoni yako kama kada kuhusu hili
Wewe na mleta uzi nani anaijua vizuri ccm?Mpaka sasa uzi una replies 20 tu [emoji23] [emoji23] [emoji1787] [emoji1787]
Wana JF shikamoo hawatoi kiki za kishamba [emoji23]
Kuna jamaa atakutumia namba pm usithubutu kumtafta ...ni kikosi uchwaraNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Kwa taarifa yako huyo ni kada kindaki ndaki, ukiona anayasema haya ujue hali ndani ya ccm ni tetekuwanga
Umetupa jiwe gizani lakini kuna watu wanapiga makelele... nakufaaaaa! Mashetani ndivyo walivyo. Wanajificha kwenye nyumba za ibada. Na mbaya zaidi wanajua maombi yao ya kinafiki hayasikilizwi hivyo hupayuka mara kwa mara ''mniombee''.Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Hahahahaaa na wewe ulishatumia ukatafuta? Watu washaliwa, maisha bora kwa kila mtanzania🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa atakutumia namba pm usithubutu kumtafta ...ni kikosi uchwara
Salute.Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.