Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Unafahamu kuwa Marekani ni nchi inayoongoza kwa mauaji yaani watu kuuana? Kama ilivyo Afrika Kusini? Au unalijua tukio la september 11 pekee? Unajua US maraisi wawili waliuawa kaa risali mbona tukio lilijirudia? Changamoto zipo bse mifumo hii ya usalama imebuniwa na wanadamu si malaika ndo maana kuna mianya ya waovu kupenya.

Niliuliza swali- nitajie operation tatu pekee unazozijua ambazo majasusi wetu Tz walifanya kuilinda nchi. Kama hujui basi huna sababu ya kushabikia ukilingajisha wakati huna taarifa. Yafaa tufanye ulinganifu tukiwa na taarifa za kweli walau 70%kweli kwa level yetu kama raia. Kuliko kubishana hapa kishabiki. Kumbuka ujasusi si sawa na siasa. Kuna issues kuzielewa zinahitaji ufuatiliaji wa karibu na uwezo wa kutafsiri matukio. Maana unawezaona kitu fulani kimefanyika lkn kina maana tofauti kabisa na kilivyoonekana machoni penu.
 
Mkuu, Mr. slim tunamjua vizuri sana. Useme tu the guy is lucky. kuna kipindi alipona assassination baada ya kutanguliza motorcade ambayo yeye hakuwemo. For your information, kwenye huo msafara-No one is alive today..kwa sababu wote waliangamia...
Unaongelea issues ambazo ni obvious. Yy ameingia kwa mtutu so unadhani ataishi kiraia arelax kama ali yokua anaishi JK? Hawezi hata siku moja so lzm akaze sana na kuishi kwa akili zaidi

Hapa naona mnamshabikia sana PK lkn hamuijui system ya TZ hiki ndo kituko ss. Unafananishaje usivyovijua??

FYI Slim kajifunzia ujasusi hapa kwetu JAPO haimzuii yy kujiongeza na kuwa bora. Pia kwa kusema hivyo simaanishi yy si bora ktk medani hizo lah!! Lkn pia sikubaliani na wanaodhani Tz iko duni kwenye medani hizo.
 
Mkuu,kwa zama hizi za kupimana mikojo sio rahisi kupata hiyo courage ya kujifunza ya kwetu.nawaza tuu.

Hebu fikiria hadi leo bado tupo nao amini kua kipindi cha maasi ya jeshi 64 ati baba wa taifa aliveshwa dera ili waweze kumtorosha,mara oooh alipitishwa chini ya ardhi hadi kigamboni.[emoji16] [emoji16] [emoji16].no one can tell the truth in public.
 
Uwezo wa kutafsiri matukio ni tofauti kwa viumbe hai wote, nakubali. Matukio yaliofanywa kwa ushindi na Tanzania ni mengi, nakubali. Nitajie matukio matatu yaliofanywa na Tanzania kwa ushindi?
 
Mkuu, it's a misunderstanding. nikuombe ujaribu kupitia comments upya..
 
Endeleeni kumwaga nondo wakuu ili nasie wakogea kopo tupate lolote la kubishania kwenye vijiwe vyetu vya bodaboda
[emoji3] [emoji3]
 
If these are the type of spies sent to us... Then we are done...!!! Trust me totally done [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji175] [emoji116]
 
Unakabidhi flash na laptop kwa mikono yako mwenyewe
Umenikumbusha tukio moja la prof kumfanyia research mwanafunzi wake. Nakumbuka kuna mtu nilimpaga A ya jurisprudence, simply bse alikuwa ni demu wa huyo colleague (prof) 2 decades back...anyway, ndo maisha yalivyo!
 
Umenikumbusha tukio moja la prof kumfanyia research mwanafunzi wake. Nakumbuka kuna mtu nilimpaga A ya jurisprudence, simply bse alikuwa ni demu wa huyo colleague (prof) 2 decades back...anyway, ndo maisha yalivyo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…