Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Nakumbuka wakati niko shule nilizushiwaga nadate na mwalimu wa physics ile skendo ilinitesaga sana nilifikia hatua hadi nikawa najifelisha makusudi maana nilikua nikifaulu tu watu wanasema nimevujishiwa paper,, toka nimeenda shule msosi wa shule nilikua sili ila ikafikia hatua ilibidi nianze kula tu hatakama situmii malage na sipendi kande maana ilikua nikinunua hata chips wanasema hela nimehongwa na mwalimu, nilikuaga kiongozi lakini ikabidi nijihudhuru tu maana ilikua nikisimama assembly hata kutangaza naona kama shule nzima inanizomea🤦♀️🤦♀️...iliniumiza na kunitesa sana kisaikolojia ukizingatia na mwalimu mwenyewe alikua mkali hata kuanza kumuuliza naogopa naanzia wapi,, nilimwomba mzee anihamishe shule alikataa hadi nikatamani nitoroke😂😂😂.. Nilikuja kujifunza baadae sana kwamba inabidi uishi tu maisha ya kawaida ambayo almost kila mtu anaishi maana ukijiweka tofauti tu watu wanaanza kufanya assumptions za kipuuzi
Malage😃😃🤔Hata kama ulikuwa hutumii nini?
Nakumbuka wakati niko shule nilizushiwaga nadate na mwalimu wa physics ile skendo ilinitesaga sana nilifikia hatua hadi nikawa najifelisha makusudi maana nilikua nikifaulu tu watu wanasema nimevujishiwa paper,, toka nimeenda shule msosi wa shule nilikua sili ila ikafikia hatua ilibidi nianze kula tu hatakama situmii malage na sipendi kande maana ilikua nikinunua hata chips wanasema hela nimehongwa na mwalimu, nilikuaga kiongozi lakini ikabidi nijihudhuru tu maana ilikua nikisimama assembly hata kutangaza naona kama shule nzima inanizomea🤦♀️🤦♀️...iliniumiza na kunitesa sana kisaikolojia ukizingatia na mwalimu mwenyewe alikua mkali hata kuanza kumuuliza naogopa naanzia wapi,, nilimwomba mzee anihamishe shule alikataa hadi nikatamani nitoroke😂😂😂.. Nilikuja kujifunza baadae sana kwamba inabidi uishi tu maisha ya kawaida ambayo almost kila mtu anaishi maana ukijiweka tofauti tu watu wanaanza kufanya assumptions za kipuuzi
Sawa mkuu.Malage😃😃🤔
Ooh🤦♀️🤦♀️ni maharage. Am so SorryHata kama ulikuwa hutumii nini?
Sawa mkuu.
Kwa hyo mgeni akija mtaani kwako mkuu anatambulishwa pale n Kwa bwana manguruwee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi zushiwa kijijini Mimi ni mwizi wa nguruwe baada ya mfugaji mmoja kuwaachia nguruwe wake na kuaribu bustani yangu ya viazi hivyo Mimi nikakamata nguruwe Moja nikafanya sherehe hapo nyumbani,wakanitungia jina wakaniita manguruwe
Kwakweli iliniuma mno
🤣 Nilishahamaga kule kitambo ila nikikutana nao huku town wananiita kimtindoKwa hyo mgeni akija mtaani kwako mkuu anatambulishwa pale n Kwa bwana manguruwee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maishà hayaa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari sanaa[emoji1787] Nilishahamaga kule kitambo ila nikikutana nao huku town wananiita kimtindo
Pole sanaNakumbuka wakati niko shule nilizushiwaga nadate na mwalimu wa physics ile skendo ilinitesaga sana nilifikia hatua hadi nikawa najifelisha makusudi maana nilikua nikifaulu tu watu wanasema nimevujishiwa paper,, toka nimeenda shule msosi wa shule nilikua sili ila ikafikia hatua ilibidi nianze kula tu hatakama situmii malage na sipendi kande maana ilikua nikinunua hata chips wanasema hela nimehongwa na mwalimu, nilikuaga kiongozi lakini ikabidi nijihudhuru tu maana ilikua nikisimama assembly hata kutangaza naona kama shule nzima inanizomea[emoji2356][emoji2356]...iliniumiza na kunitesa sana kisaikolojia ukizingatia na mwalimu mwenyewe alikua mkali hata kuanza kumuuliza naogopa naanzia wapi,, nilimwomba mzee anihamishe shule alikataa hadi nikatamani nitoroke[emoji23][emoji23][emoji23].. Nilikuja kujifunza baadae sana kwamba inabidi uishi tu maisha ya kawaida ambayo almost kila mtu anaishi maana ukijiweka tofauti tu watu wanaanza kufanya assumptions za kipuuzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi zushiwa kijijini Mimi ni mwizi wa nguruwe baada ya mfugaji mmoja kuwaachia nguruwe wake na kuaribu bustani yangu ya viazi hivyo Mimi nikakamata nguruwe Moja nikafanya sherehe hapo nyumbani,wakanitungia jina wakaniita manguruwe
Kwakweli iliniuma mno
Asante Sana... Ni ya mda mrefu 😃😃Pole sana
Ungewapiga hata kofi mojamoja 🤕🤕🤒🤒Kusingiziwa nimeiba nguo walipoikuta kwa MTU mwingine hawakuniambia maana walijua nitawavutia bangi sikuhiyo...siku ya kuagana tunamaliza chuo ndiyo wananiomba msamaha ati tuliikuta...hata sikuwajibu kitu😠
Na bahati mbaya wengi walijua wew ndo mwizi hiyo inauma hatariKusingiziwa nimeiba nguo walipoikuta kwa MTU mwingine hawakuniambia maana walijua nitawavutia bangi sikuhiyo...siku ya kuagana tunamaliza chuo ndiyo wananiomba msamaha ati tuliikuta...hata sikuwajibu kitu[emoji34]