To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sana,yaan sana mkuuNa bahati mbaya wengi walijua wew ndo mwizi hiyo inauma hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana,yaan sana mkuuNa bahati mbaya wengi walijua wew ndo mwizi hiyo inauma hatari
😂 umenikumbusha mbali na hilo jina manguruweNiliwahi zushiwa kijijini Mimi ni mwizi wa nguruwe baada ya mfugaji mmoja kuwaachia nguruwe wake na kuaribu bustani yangu ya viazi hivyo Mimi nikakamata nguruwe Moja nikafanya sherehe hapo nyumbani,wakanitungia jina wakaniita manguruwe
Kwakweli iliniuma mno
Malage 😂Malage😃😃🤔
Maharage bhana😂😂😂🙌Malage 😂
Ni malage bhana na navyoyapenda yakiwa na nazi 😋Maharage bhana😂😂😂🙌
Sema nikufungashie mzigo.. yapo mengi sana huku😂😂Ni malage bhana na navyoyapenda yakiwa na nazi 😋
Fanya hivyo nayapenda sana nikiyaona tu moyo unalipuka na kujaa furaha 😅Sema nikufungashie mzigo.. yapo mengi sana huku😂😂
[emoji2][emoji2][emoji2]Bashite alikuwa anafanya msako wake hadi wa mjani tukajumlishwa kwenye orodha yake kumbe kuna boss ndio walikuwa wanamlengesha wengine tumewekwa tu kama njia .... aisee tulikaa kama digi digi kwa wiki mbili wengine tukahama mkoa[emoji16]
Basi kaa mkao wa kula... Soon utapokea mzigo wako wa Christmas 😃Fanya hivyo nayapenda sana nikiyaona tu moyo unalipuka na kujaa furaha 😅
Kaka mkao tena 😂Basi kaka mkao wa kula... Soon utapokea mzigo wako wa Christmas 😃
Ahahahah😂😂😂... haya subiri mzigo wako😃Kaka mkao tena 😂
We itakuwa unachat kanisani sio bure.
Naingoja hiyo boxing day nifungue mzigo wa malage
Basi na lokesheni ni ile ile 😅Ahahahah😂😂😂... haya subiri mzigo wako😃
Usijali kila kitu kitaenda kama kilivyopangwaBasi na lokesheni ni ile ile 😅
Ok mamaUsijali kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa