Skendo gani imewahi kukuandama ukahisi kuchanganyikiwa? Uliimalizaje?

Skendo gani imewahi kukuandama ukahisi kuchanganyikiwa? Uliimalizaje?

Kipindi nasoma nilikua na kampan ya wahuni wahuni sana ila sikua mtoto wa hovyo.

Basi kuna siku saa 5 usku natembea zangu natoka kwenye mziki sisi tunaita "bugi" naenda nyumban kulala napita kwenye kichochoro nikatereza kumbe kuna maza alichungulia dirishan akaniona.

Sasa yule maza ana ushoga na maza wake na mshkaji wangu, kesho wanapiga umbea akaenda kumwambia jbst anavuta madawa ya kulevya jana kapita usiku anapepesuka huku anavuta madawa!! Mkanye mwanao kuwa na urafiki nae.

Jamaa yangu alikuja kuniambia iliniuma sana maana nilikua nikipita tu mtaa huo macho yanakua mengi sana alafu kipindi hicho nilikua nimetoka kuugua nikawa nimekonda sna basi wakaamini hivo.

Nilishama huo mkoa kwasas ila nikirudi home huwa siwasalimii nikipita mtaa huo ila pia nimejifunza kuwa na kampan na watu wa hovyo hovyo
 
Scandal sio lazima uzushiwe zingine hua ni kweli......sema wahuni wanashindwa kukusitir wanavujisha!

Kuna kipindi tulikua tunagombania madem mtaa x na y, kama unakaa x ukamdeti demu anakaa mtaa y ukidakwa utatoa hesabu ya Kila goli ulilompiga...... siku hyo kulikuwa na harusi mtaa y machalii wa mtaa x walikuja wa kutosha na boda boda zao, mda wa kucheza Muziki nlijua kitanuka tu nkaenda barabarani nkaweka mawe ya kutosha na magogo ili majamaa wakikimbia na boda zao wakwame wachezee kipondo....kwel hata lisaaa halijaisha vurugu zikaanza Muziki ukazimwa wakaanza kupigana majamaa wakatoka nduki kufika road imezibwa wakakutwa pale walichezea kufuli kamba za maana plus mawe

Baadae walikua wanatafuta nani kaziba road....hiii Dunia hii kila unachokifanya hua Kuna mtu anakuona aiseee Kuna mtu alinitaja yaan alisimulia kila nlichofanya pale nlianza na nn nikamaliza na nn nlihojiwa nikagoma sio mm lkn nlikuwa mm....nlipitisha miaka miwili Kuna maeneo siendi mwenyw

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Skendo nyingi huwa ni za kutengenezwa na watu ili kukuchafua na kuonekana kwenye jamii kuwa wewe ni mtu wa ovyo sana

Skendo ambayo staisahau kwenye maisha yangu nilipozushiwa kuwa nina mahusiano ya kimapenzi na mwanaume shoga, na nikaambiwa na tarehe na sehemu tulipofanyia hicho kitendo,iliniuma sana nikajificha ndani haikusaidia,nikazima simu haikusaidia ..

Ili skendo iishe niliamua kukaa kwa watu walipo na kila aliyekuwa ananiuliza nilikubali yaishe, ila iliniuma sana

Je wewe mwenzangu umewahi kushushiwa skendo gani na uliikabilije kwenye jamii?
Pole sana
 
𝐀𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐛𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐮𝐬𝐢𝐢𝐬𝐡𝐢𝐰𝐞 𝐛𝐚𝐧𝐝𝐨
 
Nakumbuka wakati niko shule nilizushiwaga nadate na mwalimu wa physics ile skendo ilinitesaga sana nilifikia hatua hadi nikawa najifelisha makusudi maana nilikua nikifaulu tu watu wanasema nimevujishiwa paper,, toka nimeenda shule msosi wa shule nilikua sili ila ikafikia hatua ilibidi nianze kula tu hatakama situmii malage na sipendi kande maana ilikua nikinunua hata chips wanasema hela nimehongwa na mwalimu, nilikuaga kiongozi lakini ikabidi nijiudhuru tu maana ilikua nikisimama assembly hata kutangaza naona kama shule nzima inanizomea🤦‍♀️🤦‍♀️...iliniumiza na kunitesa sana kisaikolojia ukizingatia na mwalimu mwenyewe alikua mkali hata kuanza kumuuliza naogopa naanzia wapi,, nilimwomba mzee anihamishe shule alikataa hadi nikatamani nitoroke😂😂😂.. Nilikuja kujifunza baadae sana kwamba inabidi uishi tu maisha ya kawaida ambayo almost kila mtu anaishi maana ukijiweka tofauti tu watu wanaanza kufanya assumptions za kipuuzi
Kwa mwandiko huu ungefaulu na somo la kiswahili ungepewa skendo ya kutembea na mwalimu wa Kiswahili.
 
Scandal sio lazima uzushiwe zingine hua ni kweli......sema wahuni wanashindwa kukusitir wanavujisha!

Kuna kipindi tulikua tunagombania madem mtaa x na y, kama unakaa x ukamdeti demu anakaa mtaa y ukidakwa utatoa hesabu ya Kila goli ulilompiga...... siku hyo kulikuwa na harusi mtaa y machalii wa mtaa x walikuja wa kutosha na boda boda zao, mda wa kucheza Muziki nlijua kitanuka tu nkaenda barabarani nkaweka mawe ya kutosha na magogo ili majamaa wakikimbia na boda zao wakwame wachezee kipondo....kwel hata lisaaa halijaisha vurugu zikaanza Muziki ukazimwa wakaanza kupigana majamaa wakatoka nduki kufika road imezibwa wakakutwa pale walichezea kufuli kamba za maana plus mawe

Baadae walikua wanatafuta nani kaziba road....hiii Dunia hii kila unachokifanya hua Kuna mtu anakuona aiseee Kuna mtu alinitaja yaan alisimulia kila nlichofanya pale nlianza na nn nikamaliza na nn nlihojiwa nikagoma sio mm lkn nlikuwa mm....nlipitisha miaka miwili Kuna maeneo siendi mwenyw
Mambo ya mashambani bwana
 
Back
Top Bottom