Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Asante sana... ni mda mrefu sana lakin 😂Poleee sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana... ni mda mrefu sana lakin 😂Poleee sana.
Sir wa phyz [emoji23][emoji23][emoji23]Asante sana... ni mda mrefu sana lakin [emoji23]
Usiniambie umeconnect dot😂😂Sir wa phyz [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie piaaah !Nasoma tyuuh comments.
Popobawa on trending [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi miaka ya 90 kuna msichana nilimpenda mtaani lakini kutokana na utoto nikashindwa kumwambia nikawa nampa pesa tu, siku moja nilimpa pesa shilingi ishirini , kumbe kuna mtu aliniona akaenda kuwaambia wazazi wake yule binti.
Wazazi wake wakorofi wakanijazia watu mtaani wakanitukana sana kwamba namtom** binti yao.
Mwishoni wakasema huyu mtoto ni popobawa kabisa kabisa hafai.
Ikumbukwe miaka ile ya tisini ndio ile kadhia ya popo bawa ilikuwa imepamba moto.
Kuanzia hapo nikawa naitwa jina la popobawa.
Kwakweli nilikuwa naumia na kusononeka sana.
Binadamu ni wabaya sanaNakimbia jogging kila siku.. naipenda njia moja sababu haina complications. Wakat wa kurudi sirud njia ile nazunguka natokea upande wa pili. Baada ya muda wife kaletewa tuhuma imezagaa mtaani kuwa nnavokimbia ni geresha kuna mwanamke mmoja kule mbele namla so huwa naenda.. na ndo maana sirudi. kumbe mtaa mzima walikua wanajua hii skendo ni mimi tuu muhusika nilikua sijui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaUsiniambie umeconnect dot[emoji23][emoji23]
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Mie piaaah !
Nasoma skendo za watu tu mi![emoji1783]
Afadhali😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa
Wewe jinsia gani?Skendo nyingi huwa ni za kutengenezwa na watu ili kukuchafua na kuonekana kwenye jamii kuwa wewe ni mtu wa ovyo sana
Skendo ambayo staisahau kwenye maisha yangu nilipozushiwa kuwa nina mahusiano ya kimapenzi na mwanaume shoga, na nikaambiwa na tarehe na sehemu tulipofanyia hicho kitendo,iliniuma sana nikajificha ndani haikusaidia,nikazima simu haikusaidia ..
Ili skendo iishe niliamua kukaa kwa watu walipo na kila aliyekuwa ananiuliza nilikubali yaishe, ila iliniuma sana
Je wewe mwenzangu umewahi kushushiwa skendo gani na uliikabilije kwenye jamii?
Hatumii Malage 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata kama ulikuwa hutumii nini?
Tupe tujifunze mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muda mwingine Bora kmya maana skendo zingine n laana tupu..
Ninajijua akili yangu mbovu. Huyo ni lazima ningekula hata kwa kufumba macho.Kuna co - worker mwenzangu ananisambazia habari za uongo kwa watu na kunichukia bila sababu eti Mimi natembea na mwanamke wake .
Sijawahi kutembea naye huyo mwanamke kimapenzi na wala sijawahi kumtongoza,
INAUMA SANA
Wewe ni ke!?Nakumbuka wakati niko shule nilizushiwaga nadate na mwalimu wa physics ile skendo ilinitesaga sana nilifikia hatua hadi nikawa najifelisha makusudi maana nilikua nikifaulu tu watu wanasema nimevujishiwa paper,, toka nimeenda shule msosi wa shule nilikua sili ila ikafikia hatua ilibidi nianze kula tu hatakama situmii malage na sipendi kande maana ilikua nikinunua hata chips wanasema hela nimehongwa na mwalimu, nilikuaga kiongozi lakini ikabidi nijiudhuru tu maana ilikua nikisimama assembly hata kutangaza naona kama shule nzima inanizomea🤦♀️🤦♀️...iliniumiza na kunitesa sana kisaikolojia ukizingatia na mwalimu mwenyewe alikua mkali hata kuanza kumuuliza naogopa naanzia wapi,, nilimwomba mzee anihamishe shule alikataa hadi nikatamani nitoroke😂😂😂.. Nilikuja kujifunza baadae sana kwamba inabidi uishi tu maisha ya kawaida ambayo almost kila mtu anaishi maana ukijiweka tofauti tu watu wanaanza kufanya assumptions za kipuuzi
Ukijizatiti inawezekana kabisa. Kuna mambo nilifanya tena makusudi, hadi watu hawajui.Duniani huwezi fanya jambo kwa siri aisee
ChaiWalinizushia kuwa nimekula kitoto cha jirani cha miaka 10. Niliumia sana
Mbna unakua muoga? [emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali[emoji23]