Umekuja Hadi hukuππHili jina nitahakikisha halifi!
Tangu uniwashie moto siku ile nakufuatiliaga tu kimya kimya. Na sasa nimepata na jina zuri la malage uwiii!Umekuja Hadi hukuππ
Halafu siku gani hiyo mbona sikumbuki ππ.. em nenda unitag Basi nione πππTangu uniwashie moto siku ile nakufuatiliaga tu kimya kimya. Na sasa nimepata na jina zuri la malage uwiii!
Pole Mkuu walichokufanyia hao majirani ni zaidi ya Uchawi.Nakimbia jogging kila siku.. naipenda njia moja sababu haina complications. Wakat wa kurudi sirud njia ile nazunguka natokea upande wa pili. Baada ya muda wife kaletewa tuhuma imezagaa mtaani kuwa nnavokimbia ni geresha kuna mwanamke mmoja kule mbele namla so huwa naenda.. na ndo maana sirudi. kumbe mtaa mzima walikua wanajua hii skendo ni mimi tuu muhusika nilikua sijui
hapana ni malageOoh[emoji2356][emoji2356]ni maharage. Am so Sorry
Jamani kipenzi, Hadi weweππhapana ni malage
[emoji38]me nimependa bana ulivyoita malageJamani kipenzi, Hadi wewe[emoji23][emoji23]
Haya bhana ππ[emoji38]me nimependa bana ulivyoita malage
Ko una hisi Ali kuonea auππNiliwahi zushiwa kijijini Mimi ni mwizi wa nguruwe baada ya mfugaji mmoja kuwaachia nguruwe wake na kuaribu bustani yangu ya viazi hivyo Mimi nikakamata nguruwe Moja nikafanya sherehe hapo nyumbani,wakanitungia jina wakaniita manguruwe
Kwakweli iliniuma mno
We Jamaa ni kituko aiseeπππMimi miaka ya 90 kuna msichana nilimpenda mtaani lakini kutokana na utoto nikashindwa kumwambia nikawa nampa pesa tu, siku moja nilimpa pesa shilingi ishirini , kumbe kuna mtu aliniona akaenda kuwaambia wazazi wake yule binti.
Wazazi wake wakorofi wakanijazia watu mtaani wakanitukana sana kwamba namtom** binti yao.
Mwishoni wakasema huyu mtoto ni popobawa kabisa kabisa hafai.
Ikumbukwe miaka ile ya tisini ndio ile kadhia ya popo bawa ilikuwa imepamba moto.
Kuanzia hapo nikawa naitwa jina la popobawa.
Kwakweli nilikuwa naumia na kusononeka sana.
Ko full kuwindana tuπππ€Bashite alikuwa anafanya msako wake hadi wa mjani tukajumlishwa kwenye orodha yake kumbe kuna boss ndio walikuwa wanamlengesha wengine tumewekwa tu kama njia .... aisee tulikaa kama digi digi kwa wiki mbili wengine tukahama mkoaπ
Wewe ni wait ni Wao π€π€π€Natamani kueleza ila roho inasita mtanijua ila itoshe kusema wafanyakazi wa Temeke hospitali Mungu anawaona na katu siachi kuwaombea mabaya maana mlijua kunidhalilisha kijana wenu alafu nikiwa ndiyo kwanza naanza ajira .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] kwanin usitumie hyo jina la manguruwe humuNiliwahi zushiwa kijijini Mimi ni mwizi wa nguruwe baada ya mfugaji mmoja kuwaachia nguruwe wake na kuaribu bustani yangu ya viazi hivyo Mimi nikakamata nguruwe Moja nikafanya sherehe hapo nyumbani,wakanitungia jina wakaniita manguruwe
Kwakweli iliniuma mno
Mimi mmwenyewe juzi tu nilizushiwa natembee na wake za watu na kuwekewa ushaihd wa uongo na mke na jamaa nao wakakuzanya watu ili jamaa aweke ushaihid kuwa mm namtongoza mke kumbe ajabu mke wake Ni mislamu alfu ananiombaga nimnulilie kitimotoKuna co - worker mwenzangu ananisambazia habari za uongo kwa watu na kunichukia bila sababu eti Mimi natembea na mwanamke wake .
Sijawahi kutembea naye huyo mwanamke kimapenzi na wala sijawahi kumtongoza,
INAUMA SANA
Aisee, binadamu wabaya sana...Mimi mmwenyewe juzi tu nilizushiwa natembee na wake za watu na kuwekewa ushaihd wa uongo na mke na jamaa nao wakakuzanya watu ili jamaa aweke ushaihid kuwa mm namtongoza mke kumbe ajabu mke wake Ni mislamu alfu ananiombaga nimnulilie kitimoto
Sasa kidg tumezinguana anakwenda kumuamboa mam mweny nyumba kuwa namtongoza na Nina msumbuaa
Watanijua[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] kwanin usitumie hyo jina la manguruwe humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kivileeBy that time kudate na mwalimu halafu mtu mzima sio suala la kawaida,, walionisingizia waliniweza aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]π¬ππ°π ππππππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angesingiziwa kuwa anatoka na mpishi ndo maana anapewa malage mengi [emoji16][emoji16] [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]