SKENDO: Sarah ambwaga Harmonize, sasa mapenzi motomoto na Mwarabu Fighter

SKENDO: Sarah ambwaga Harmonize, sasa mapenzi motomoto na Mwarabu Fighter

Alafu hizi si ni ishu za insta. Tuacheni JF tujadili mambo yenye maslai mapana kwa nchi
 
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba yule mzungu wa Harmonize (Konde boy) Sarah kwa sasa haambiwi wala hasikii kitu kuhusu mwarabu fighter yaani anampenda mpaka kapitiliza ,zile pesa alizokuwa ana muhonga Harmonize kwa sasa kwa kiasi kikubwa amezihamishia kwa mwarabu fighter na gharama za gym kwa kiasi kikubwa yeye ndiye anazisimamia.

Sarah amepunguza mapenzi kwa kiasi kikubwa na Harmonize kilichobaki anahangaikia tu penzi la mwarabu fighter ili aweze kutuliza roho yake.

Kitu ambacho mpaka sasa kinachofanya ugumu wa couple hiyo kusimama ni kutokana na Harmonize kuwa mtu wa karibu saana na Diamond Platnumz ambaye pia ndiye anayemuweka mjini mwarabu fighter na siku zote ukitaka kumkwaza Diamond au ukitaka kumkwaza Harmonize basi mtu amkwaze mmoja wapo yani Diamond wanapendana sana kama mtu na kaka yake.

Kwa hiyo mwarabu fighter anaogopa kibarua kuota nyasi kama akifanikiwa kumpindua Harmonize .

Sema naye huyu binti amezidi umalaya kwa kweli duuh anagawa utamu si mchezo.
Nyumbu wa Mange
 
WCB kwa kiki tu unaweza kusikia uyu Mwarabu Fighter nae anataka kutoa wimbo wake sasa.
 
Majukwaa yapo mengi humu JF, nenda jukwaa la siasa ukajadili mambo ya nchi
JF hata km ni social forum tunajadili mambo yenye tija, yanayodadisi na kuchochea kufikri kwa mapana.

Bahati mbaya social forums haina maana ya umbea.
 
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba yule mzungu wa Harmonize (Konde boy) Sarah kwa sasa haambiwi wala hasikii kitu kuhusu mwarabu fighter yaani anampenda mpaka kapitiliza ,zile pesa alizokuwa ana muhonga Harmonize kwa sasa kwa kiasi kikubwa amezihamishia kwa mwarabu fighter na gharama za gym kwa kiasi kikubwa yeye ndiye anazisimamia.

Sarah amepunguza mapenzi kwa kiasi kikubwa na Harmonize kilichobaki anahangaikia tu penzi la mwarabu fighter ili aweze kutuliza roho yake.

Kitu ambacho mpaka sasa kinachofanya ugumu wa couple hiyo kusimama ni kutokana na Harmonize kuwa mtu wa karibu saana na Diamond Platnumz ambaye pia ndiye anayemuweka mjini mwarabu fighter na siku zote ukitaka kumkwaza Diamond au ukitaka kumkwaza Harmonize basi mtu amkwaze mmoja wapo yani Diamond wanapendana sana kama mtu na kaka yake.

Kwa hiyo mwarabu fighter anaogopa kibarua kuota nyasi kama akifanikiwa kumpindua Harmonize .

Sema naye huyu binti amezidi umalaya kwa kweli duuh anagawa utamu si mchezo.
halafu inasemekana dogo hajawahi kula mzigo si unajua tena wazungu unaweza mkawa boyfriend na girlfriend hata zaidi ya miaka mitatu bila hata kulana,dogo miezi iliyopita alihojiwa kuhusu mimba akadai ana mimba huyo dem juzi anadai eti imetoka hapo mtaalam utajua ni udaku tosha
 
Back
Top Bottom