Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Na wewe ni mmoja wao bila shakaAcha kufuatilia maisha ya watu kama MAUMIVU anayapata yeye wewe unaumiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni mmoja wao bila shakaAcha kufuatilia maisha ya watu kama MAUMIVU anayapata yeye wewe unaumiaje?
Kama yule kapigaa wa clouds...ongea ake tu lolTangu siku ya kwanza naona clip yake kuna kundi fulani nikawaambia watu huyu jamaa ana ushoga na lazima analiwa...
Watanzania hamna exposure ya mambo mengi, ila kuna wasanii na watu maarufu wengi sana ni mashoga, nivile hamuwez kusoma matendo yao, ongea yao na ishara zao...
Halafu anajiita pastor 🙄Kama yule kapigaa wa clouds...ongea ake tu lol
Jamani mwenye taarifa za Kinasa tumjue huyo baradhuliHuyo Kinasa ni nani haswa?
Nombesaaah[emoji38][emoji28]Kupenda dezo kunawaharibu sana vijana.
Kwani kujiita handsome/mzuri ni dhambi?Sijui Kama Ni shoga,Ila najua anapendaga kujisifu yeye Ni mzuri......tukemee watoto wetu wa kiume kujiita wazuri
Kwamba anapenda kuwageuza wanaume wenzake?Mwanaume unakuaje sio mtu wa mademu? Kua na mademu ni natural kwa mwanaume. Ukiona mwanaume hapendi wanawake ujue anapenda wanaume wenzie.
We unaonaje?Kwani kujiita handsome/mzuri ni dhambi?
Si dhambi. Yusufu alikuwa hb na alijijua kuwa ni hb, Daudi, Suleiman, Sauli n.kWe unaonaje?
Kwa matumizi ya kilingeniwe mlozi na wewe kumbe unatafutaga hizi konekisheni ?
Uhuru wako usibughudhi wengine wabongo punguzeni kufuatilia watu na maisha yaoNa wewe ni mmoja wao bila shaka
Sasa we endelea kujifananisha na Yusufu wa kale kwenye Karne hii...utaelewa kwa Nini nimekwambia so vema mtoto wa kiume kukaa unajinadi eti wewe Ni mzuriSi dhambi. Yusufu alikuwa hb na alijijua kuwa ni hb, Daudi, Suleiman, Sauli n.k
Kubali kataa wanaume hb's wapogo tuuu, na wanajijua.
Si dhambi na haihusiani na ushoga. Ni pride tu!
Hajaitwa yeye kajiita aliliwa mkust kwa elfu 20Siku hizi tumetoka kwenye kuita watu kua wao ni Freemason,
Sasa hivi tumehamia kwenye kuita watu mashoga!
ivi uyu Aristote naye ni shoga au yeye anawafumu mashoga, ilo Dr kumbuka ndo maana siku izi simsikii Efm washambwaga watakua..Kwa matumizi ya kilingeniView attachment 2544443
Mbona wewe haujaangamizwa pamoja na madhambi yako debe zima?Inatakiwa sheria kali itungwe kuwaangamiza hawa watu