Skendo ya ushoga yamtafuna Hakika Ruben baada ya video zake kuvuja

Skendo ya ushoga yamtafuna Hakika Ruben baada ya video zake kuvuja

Mungu hajawahi kuhukumu ndio maana mashoga wanazidi kupeta.

Wanaoteseka ni watu wenye magonjwa ya sonona pamoja na hasira zisizo na maelezo.

Unawezaje KUMFOKEA mtu anapoamua kutumia tiGo yake?
Sijui unaongelea Mungu gani ila wa kikristo alishawahukumu tena amewaita mbwa na amekataa kupokea sadaka zao .kwa hiyo kanisani shoga anaruhusiwa kuingia ila haruhusiwi kutoa sadaka

Kum 23:18 SUV​

Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yo yote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.
 
Kwani handsome ni uzuri?
Uzuri ni sifa ya kike
Handsome ni mwanaume mwenye mvuto, kuanzia wa sura, mavazi na muonekano kwa ujumla. Hakuna ubaya na siyo guarantee ya kuwa shoga. Huna uthibitisho wowote wa kuonesha uzuri ni sifa ya kike zaidi ya kuongea tu kutokana na kukariri kwako.!
 
Handsome ni mwanaume mwenye mvuto, kuanzia wa sura, mavazi na muonekano kwa ujumla.
Hio definition yako ndo inaonesha kwamba hamna mwanaume mzuri
(Haujahusisha sifa ya uzuri ila umeongelea mvuto )
na kwa kiswahili nadhifu maana yake ni mtanashati
Sheenz
 
Hio definition yako ndo inaonesha kwamba hamna mwanaume mzuri
(Haujahusisha sifa ya uzuri ila umeongelea mvuto )
na kwa kiswahili nadhifu maana yake ni mtanashati
Sheenz
Wewe hujui kitu kikiwa na mvuto yaani muonekano ndiyo uzuri wenyewe niliomaanisha? Kuna neno muonekano nimeweka.! Sawa wewe?! Hope umeelewa!
 
Wewe hujui kitu kikiwa na mvuto yaani muonekano ndiyo uzuri wenyewe niliomaanisha? Kuna neno muonekano nimeweka.! Sawa wewe?! Hope umeelewa!
Mvuto si sawa na uzuri (unaweza kuta mwanamke ana mvuto na wala si mzuri sexy but not beautiful)
Ila tusibishane kila mtu abaki na anachojua
 
nahisi wale jamaa wanalipwaa aisee tena hela ndefu... sasa ruben anapromote ushoga alafu baadae anaanza kusema ni utani sijui sio serious means kala hela ila anaona polisi mambo yanaenda sivyo ndivyo.
Sio kulipwa wanalazimishwa kupromote ugaynism ili wapate madili makubwa makubwa,mbn wengi tu,tuseme asimia 90 ya wasanii wetu huwa wanalazimishwa kupromote
 
SKENDO CHAFU YAMTAFUNA HAKIKA RUBEN, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WAMTAKA AREJEE KWA MUNGU.

Mitandao ya kijamii imeibuka kwa kasi nchini Tanzania na imechukua sura mpya kwa watu tofauti ambapo wapo wanaoichukulia kama fulsa ya kujipatia kipato kwa kuuza na kuzitangaza kazi zao, wapo wanaoitumia kama sehemu ya starehe kutuliza mawazo yao lakini pia imekuwa ni darasa huru kwa kila Mtanzania kwani kwa kuzingatia sheria tu unaweza kufanya chochote isipokuwa usivuke mipaka.

Hakika Ruben kutoka Iringa ni miongoni mwa wachekeshaji ambao walianza vizuri na mpaka sasa wanafanya vizuri, kutokana na aina yake ya uchekeshaji amejikuta anakuwa kivutio kwa watu wengi na kujipatia mashabiki rukuki, ambapo kwenye mtandao wake wa Instagram bado kidogo akifikishe wafwasi milioni moja, hii inaonyesha ni kwa kiasi gani jamii inamkubali.

Lakini tangu wiki hii ianze kumekuwa na video inayosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha Hakika akiwa live na wenzake kwenye mtandao wa TikTok ambapo kuna maneno yasiyo na hekima alikuwa anayaongea, kwenye maneno hayo alikuwa anajitambulisha kama mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja kwa kumgombania mwanaume mwenzao yeye na mwenzake.

Kutokana na CV ya Hakika na heshima kubwa aliyoitengeneza Watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kitendo hicho cha kishetani huku wengi wakimtukana na kumtaka arejee kwa Mungu wake aombe msamaha. Yote tisa, kumi mjadala huo umefika hadi nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanahabari wameonyesha kukemea kitendo hicho na kuwaasa wazazi kuwaweka mbali watoto wao na mtandao wa Tiktok kwani si salama kwa watoto maana umekuwa kama uwanja wa kuhamasisha na kujifunza ngono.

Hata hivyo licha ya kuitwa Polisi, Hakika mwenyewe ameonyesha kutokujali kwani licha ya watu kumuomba abadirike bado ameendelea kuposti video za kujitangaza zaidi kuwa ni muhusika wa mambo hayo huku akifunga sehemu ya komenti kuwazuia watu wasiandike chochote.

View attachment 2544036
huyo jamaa ana mambo ya kujinga sana.
 
Back
Top Bottom