GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tembeleeni mitandao ya Michezo ya Afrika Kusini muone jinsi nyie mlivyompamba kwa mwezi mzima hadi jana mlivyompokea lakini mnavyochekwa na kudharauliwa na South Africa Football Pundits kwa kukurupuka kwenu kumsajili.
Yaani Mchezaji awe mzuri Afrika Kusini halafu giants kama Mamelodi Sundowns FC, Orlando Pirates FC, Kaizer Chiefs FC, Ajax Cape Town FC na Super Sports United wasimuone na wamuache aje kwa wapuuzi na malofa Kariakoo na Kigamboni?
Acheni tu mdharaulike na mchekwe.
Yaani Mchezaji awe mzuri Afrika Kusini halafu giants kama Mamelodi Sundowns FC, Orlando Pirates FC, Kaizer Chiefs FC, Ajax Cape Town FC na Super Sports United wasimuone na wamuache aje kwa wapuuzi na malofa Kariakoo na Kigamboni?
Acheni tu mdharaulike na mchekwe.