Skudu Makudubela angekuwa mzuri hivyo angekuwa hapati nafasi katika Vilabu Vikubwa Afrika Kusini?

Skudu Makudubela angekuwa mzuri hivyo angekuwa hapati nafasi katika Vilabu Vikubwa Afrika Kusini?

Amecheza timu kama 200 hivi huyu ni mchezaji mwenye uzoefu kuliko wote Tanzania.
 
Inawezekana kwasababu 33 ni miaka ya kunjunga tu ila hiyo 47 ndo ya kuzaliwa.
Huu ujinga wa kufoji umri upo kwenye nchi za kusadikika tu, nchi zenye mifumo ya electronic kitambo hakuna huo ujinga.
 
Tembeleeni mitandao ya Michezo ya Afrika Kusini muone jinsi nyie mlivyompamba kwa mwezi mzima hadi jana mlivyompokea lakini mnavyochekwa na kudharauliwa na South Africa Football Pundits kwa kukurupuka kwenu kumsajili.

Yaani Mchezaji awe mzuri Afrika Kusini halafu giants kama Mamelodi Sundowns FC, Orlando Pirates FC, Kaizer Chiefs FC, Ajax Cape Town FC na Super Sports United wasimuone na wamuache aje kwa wapuuzi na malofa Kariakoo na Kigamboni?

Acheni tu mdharaulike na mchekwe.
tusubiri tuone

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Tembeleeni mitandao ya Michezo ya Afrika Kusini muone jinsi nyie mlivyompamba kwa mwezi mzima hadi jana mlivyompokea lakini mnavyochekwa na kudharauliwa na South Africa Football Pundits kwa kukurupuka kwenu kumsajili.

Yaani Mchezaji awe mzuri Afrika Kusini halafu giants kama Mamelodi Sundowns FC, Orlando Pirates FC, Kaizer Chiefs FC, Ajax Cape Town FC na Super Sports United wasimuone na wamuache aje kwa wapuuzi na malofa Kariakoo na Kigamboni?

Acheni tu mdharaulike na mchekwe.
Hahahaaa!
JamiiForums1345902037.jpg
 
Back
Top Bottom