Skudu Makudubela angekuwa mzuri hivyo angekuwa hapati nafasi katika Vilabu Vikubwa Afrika Kusini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tembeleeni mitandao ya Michezo ya Afrika Kusini muone jinsi nyie mlivyompamba kwa mwezi mzima hadi jana mlivyompokea lakini mnavyochekwa na kudharauliwa na South Africa Football Pundits kwa kukurupuka kwenu kumsajili.

Yaani Mchezaji awe mzuri Afrika Kusini halafu giants kama Mamelodi Sundowns FC, Orlando Pirates FC, Kaizer Chiefs FC, Ajax Cape Town FC na Super Sports United wasimuone na wamuache aje kwa wapuuzi na malofa Kariakoo na Kigamboni?

Acheni tu mdharaulike na mchekwe.
 
Tusubili league ianze tutapata majibu kamili Kwa usajili huu.
Football Pundits hatuna haja ya Kusubiria hadi Ligi ianze bali tumeshajua kuwa hakuna Mchezaji hapo bali kuna / ana Mbwembwe nyingi tu.
 
Morrison nae ilikuwa hivihivi
 
Mdogo angu Genta unapitia mateso makali sana.
Ya Kuachwa na Dada yako kwakuwa sipendi kupita nae Ali Hassan Mwinyi Road na huwa napita nae sana Mpalange Road asikokupenda.
 
Afande Genta Rama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…