Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Kuchukiwa ni kawaida ila usikaze sana msuli kumtetea, subiri siku ikifika utafuatilia usahili na kubaini unayoyaona sasa kama kweli au la.
 
Kama kweli una busara bora umshauri huyo cocochanel aikatae interview kuliko na kumtetea jambo ambalo yeye anaweza kujitetea
 
hahah duh !alifanyiwa muda kwakwel tena mwanzon mwanzo anaanza huyu dj !was superb !ya demi na ya Madam Mwajuma ndo nilizozifatilia zilikua nzuri sana !yaan nilicheka sana !ni wadada open sana ! hawajui kufake na kuvunga !
Ehee ngoja nikaisome nampatia picha hapa majibu yake nacheka mwenyewe[emoji3] ngoja nikaitafute huku nasubiria ya sky
 
Hahahaaa [emoji3][emoji3][emoji3]

Bablai tutakuja kuwa wapenda ubuyu aisee..

Utani hadithia baadaye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya

Mi narudi kusoma ya jana

Mambo ya specimen[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…