Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Hivi ni kwanini unataka kumzeesha mwenzio??? Siye tumepishana miaka miwili basi kama espy ana 45 basi mie 43 sasa hapo utakuwa unanitafuta ugomvi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu ben 10 wako ana vipaji vingi, ubishi, ulalamishi,uandamaji.....
 
Kwakweli baby kanishinda nahis ananiambia mimi ni mzee in indirect way, maana sio kwa kukulazimisha huko na wakati anajua tumepishana miaka miwili tuu
Wewe sio mzee

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Ohoooooo!! Kumbe!
Basi sawa ngoja nikukubalie usije anza ulalamishi na kuniandama kwenye nyuzi zingine nikubali mimi ni mzee.
Sawa mwanangu, mimi ni mzee. Sawa toto juli eeeh!
hapo sawa kwa maana unataka uuaminishe umma kuwa wewe ni binti kigoli

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…