Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Huku kwetu wengi ni kina tai chi! nadhani wametudukua mpk uvunguni! wacha tule ugali tu maana namna ya kujinasua hapo inahitaji uyakinifu wakutosha! na huo uyakinifu siuoni wako kwenye 7G tuko 3G!
 
Mh!!! Hii ni ngumu kumjua mtu ambaye anakaa dormant 20years then anaku-screw
 
Dah na hawa Wachina walivyozagaa humu kwetu si balaa hili!
 
Mkuu uko vizuri hii kitu mpya kwangu. Movie inaitwa salt.

Mtoto alipelekwa us akawa mdogo kabisa baada ya Ajali ya diplomat wa us Russia kutengenezwa na walipofariki akachukuliwa dogo kama mtoto wao kumbe ni pandikizi aliyeandaliwa kwa mission itakayofanyika Day X. Siku ambapo miaka mingi ijayo watafake kifo cha Rais wa russia marekani. Cha ajabu pale jamaa aliyekuwa muaminifu saana na kiongozi wa US Secret service nae alikuwa ni Russian Sleeper agent nadhani kwa elimu yako leo.

Maana rangi yake halisi ilijulikana kitovuni kabisa mwa Whitehouse akiwa yeye Rais na watu wachache wamejifungia chumba cha siri na kuwageuka wote akisaidiwa na Evelyn Salt. Hii Movie huwa naikubali sana.
 
Nipe mbinu za kupandikiza jasusi wa kudukua taarifa za mke.
 
GRU Spetnaz nao wako vizuri sana.Wana sleeper cells kila kona ya western world.Inakuwa rahisi kwasababu waamerika/Nato na warusi wanafanana
 
Hivi mkuu yule Rais wa USSR MIKHAIL GORBACHEV hakuwa pandikizi la wamarekani kweli????
 
Hiyo michezo ya nchi zilizo kwenye misuguano ya kiuchumi na kiuhasama.
 
Nchi hizi masikini ni dampo mkuu.

Kuna kila aina ya mtu humu, kama Marekani waliweza kupenyeza ma Sleeper agents ndani ya Serikali ua Urusi na KGB yao watashindwa kweli kupenyeza huku kwetu ambapo bado hata mawasiliano ya Ikulu yalikuwa yanatumia email za domain ya yahoo.??

haaaa aiseee basi yule raia mweusi wa Marekani hapa kutwa vijiweni eti oyaa mambo vip basi nae atakua Agent duuh
 
niliwahi kuckia kuwa Yelestin Gorbachev rais wa Urusi zama zile inasemekana alipandikizwa na Marekani yaani kuwa alikuwa mmarekani pia, na Soviet ilikuja kuvunjikia mikononi mwake
Mkuu alikua anaitwa Mikhail Gorbachev sio Yeltsin hao ni watu wawili tofauti waliowahi kuwa Marais wa Urusi
 
Je yule aliokimbilia mbali nae sijui alikua wa wapi yule ngozi yake ilikua na mabaka mabaka hivi
 
Back
Top Bottom