comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Jeshi letu lipo vizuri hakuna sleepers agent kama walivyofanya Nigeria na kuwadaka watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nani huyo mihogo au umesahau speeling fulani?Dk Mihogo ni sleeper agent,anayebisha atajijua.
Kwetu hapa tunafanya au ...???
na yule mbunge wa singida aliyeahidiwa urais wa tanzania na marekaniNchi hizi masikini ni dampo mkuu.
Kuna kila aina ya mtu humu, kama Marekani waliweza kupenyeza ma Sleeper agents ndani ya Serikali ua Urusi na KGB yao watashindwa kweli kupenyeza huku kwetu ambapo bado hata mawasiliano ya Ikulu yalikuwa yanatumia email za domain ya yahoo.??
Hhaaaha eti akajinadi kabisa kuwa wamarekani wanamtaka awe rais wa Tzna yule mbunge wa singida aliyeahidiwa urais wa tanzania na marekani
Yaah yule ni jasusi wa Tanzania lakini....sio wa KenyaKuna yule alieua elimu yetu nina wasiwasi nae.
asante kwa kunikosoa mkuu kweli nlikosea jina la mwanzoSahihisha jina Mzee... umekosea
Mikhail Gorbachev
Former General Secretary of the Communist Party of the Soviet Union
unamaanisha yule aliyeleta chem-physicsKuna yule alieua elimu yetu nina wasiwasi nae.
na yule mbunge wa singida aliyeahidiwa urais wa tanzania na marekani
Mzee mmoja hivi anaishi Canadandio nani huyo mihogo au umesahau speeling fulani?
Hawa maprofesa uchwara si watu kuwaamini.Nchi hizi masikini ni dampo mkuu.
Kuna kila aina ya mtu humu, kama Marekani waliweza kupenyeza ma Sleeper agents ndani ya Serikali ua Urusi na KGB yao watashindwa kweli kupenyeza huku kwetu ambapo bado hata mawasiliano ya Ikulu yalikuwa yanatumia email za domain ya yahoo.??
Nasikia kuna mjeda mmoja aliyekuwa na asili ya kagame alikimbia jeshi na Kurudi kwao..Jeshi letu lipo vizuri hakuna sleepers agent kama walivyofanya Nigeria na kuwadaka watatu
Dr Weaponndio nani huyo mihogo au umesahau speeling fulani?