Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
- #101
Siku zote nipo mkuu.naona umeamua kurudi kwa speed ya hali ya juu shukrani kwa kutuongezea maarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote nipo mkuu.naona umeamua kurudi kwa speed ya hali ya juu shukrani kwa kutuongezea maarifa
Naupenda sana ushushu ila umri umenitupa mkono..
Nalog off
Naona una hamu na B.P mkuu.Nipe mbinu za kupandikiza jasusi wa kudukua taarifa za mke.
Nitafurahi sana...!! Ila ni complex issue na kama itakuwa kweli urusi waangalie sana wasije kumdungua siku anaapishwa alaf habari ndo ikaishia hapo..!!Hata trump asije kuwa sleeper agent wa urusi
Dah leo ndo naelewaMkuu uko vizuri hii kitu mpya kwangu. Movie inaitwa salt. Mtoto alipelekwa us akawa mdogo kabisa baada ya Ajali ya diplomat wa us Russia kutengenezwa na walipofariki akachukuliwa dogo kama mtoto wao kumbe ni pandikizi aliyeandaliwa kwa mission itakayofanyika Day X. Siku ambapo miaka mingi ijayo watafake kifo cha Rais wa russia marekani. Cha ajabu pale jamaa aliyekuwa muaminifu saana na kiongozi wa US Secret service nae alikuwa ni Russian Sleeper agent nadhani kwa elimu yako leo. Maana rangi yake halisi ilijulikana kitovuni kabisa mwa Whitehouse akiwa yeye Rais na watu wachache wamejifungia chumba cha siri na kuwageuka wote akisaidiwa na Evelyn Salt. Hii Movie huwa naikubali sana.
Mkuuu huyo atakuwa anaitwaje?Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
umri wangu(37) sidhani kama TISS watakuwa teyari kunitrain ndio maana nikasema umri wangu umenitupa mkono ila kama watakuwa teyari narudia kusema hii kazi naipenda sana.Kumbe uko huku!!! Kuna uhusisno gani kati ya ushushu na umri na umejua je?
Hawa wa malawi wanaofanyakazi za nyumbani tena kwa wazito kunako ongelewa kingereza kwa mtaji huu watadukua sana nchi yetu.
Ikitokea kumchukua sleeper agent ambaye ni agenti tayari huko alikotoka si inakuwa imekula kwako.
Baada ya huu uzi Trump anaweza kuwa ni mfanya biashara na wakala lala.
Na washawasha!
naishi Msumbiji mkuu nirudi Tz unifunze?Njoo nikurectruit
umri wangu(37) sidhani kama TISS watakuwa teyari kunitrain ndio maana nikasema umri wangu umenitupa mkono ila kama watakuwa teyari narudia kusema hii kazi naipenda sana.
Nalog ofg
Yes kweli hii intelligence
Anaitwa nani na yuko wapi tumtumbue..... onesha uzalendoHuu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Asante sana....interesting sana. Ila Sasa huyu sleeper kama hawez kulipwa kwa kuwa anaweza kugundulika....hyo kazi yake ambaye inaweza kumsababishikia kifo ina faida gan kwakweli?!
Nipe mbinu za kupandikiza jasusi wa kudukua taarifa za mke.