Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Naupenda sana ushushu ila umri umenitupa mkono..
Nalog off

Kumbe uko huku!!! Kuna uhusisno gani kati ya ushushu na umri na umejua je?

Hawa wa malawi wanaofanyakazi za nyumbani tena kwa wazito kunako ongelewa kingereza kwa mtaji huu watadukua sana nchi yetu.

Ikitokea kumchukua sleeper agent ambaye ni agenti tayari huko alikotoka si inakuwa imekula kwako.

Baada ya huu uzi Trump anaweza kuwa ni mfanya biashara na wakala lala.

Na washawasha!
 
kwa anaetaka kuona jinsi Sleeper agent wanavyo oparate nenda kadownload series inatwa The American humo kuna kila kitu, anzia season ya kwanza ili ufaidi vzuri, utaona jinsi Mrusi alichokuwa anafanya kabla ya Cold war
 
Sleeper agent wanaotumika hapa Tanzania kutoka nje.
1 Beki tatu
2 Mahawara
3 Watoto yatima (hufanywa yatima lakini wanao wazee)
4 Watangaza dini
5 Wawekezaji hawa ndio wapo wengi sana hapa barani kwetu Africa. Na wengi wanatokea China hawa wao hawapo kwenye ujasusi wa serikali bali kwenye rasilimali za nchi. Hufungua viwanda au kampuni flani karibu na sehemu wanayoitaka. Hawa ndugu zetu wana uwezo wa kuchimba mahandaki ya umbali sana. Huiba rasilimali na kuikusanya kuna siku utasikia wanasafirisha makontena au kuna meli yao ya kivita imekuja nchini. Hapo ndio husafirisha walicho kifata.
 
ndo mimi nna mashaka sana na hawa ndugu zetu wanaotokea mikoa ya mipakani ,wengi wao wana balaa hili hili, nlipokuwa A level nlikutana na raia mbali mbali km kenya, rwanda na burundi
Note:sifa yao kuu ni watu wenye kujua lugha nying sana kwa wakat mmoja,ili isiwe rahisi kumsuspect
 
Hata trump asije kuwa sleeper agent wa urusi
Nitafurahi sana...!! Ila ni complex issue na kama itakuwa kweli urusi waangalie sana wasije kumdungua siku anaapishwa alaf habari ndo ikaishia hapo..!!
 
Mkuu uko vizuri hii kitu mpya kwangu. Movie inaitwa salt. Mtoto alipelekwa us akawa mdogo kabisa baada ya Ajali ya diplomat wa us Russia kutengenezwa na walipofariki akachukuliwa dogo kama mtoto wao kumbe ni pandikizi aliyeandaliwa kwa mission itakayofanyika Day X. Siku ambapo miaka mingi ijayo watafake kifo cha Rais wa russia marekani. Cha ajabu pale jamaa aliyekuwa muaminifu saana na kiongozi wa US Secret service nae alikuwa ni Russian Sleeper agent nadhani kwa elimu yako leo. Maana rangi yake halisi ilijulikana kitovuni kabisa mwa Whitehouse akiwa yeye Rais na watu wachache wamejifungia chumba cha siri na kuwageuka wote akisaidiwa na Evelyn Salt. Hii Movie huwa naikubali sana.
Dah leo ndo naelewa
 
Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Mkuuu huyo atakuwa anaitwaje?
 
Kumbe uko huku!!! Kuna uhusisno gani kati ya ushushu na umri na umejua je?

Hawa wa malawi wanaofanyakazi za nyumbani tena kwa wazito kunako ongelewa kingereza kwa mtaji huu watadukua sana nchi yetu.

Ikitokea kumchukua sleeper agent ambaye ni agenti tayari huko alikotoka si inakuwa imekula kwako.

Baada ya huu uzi Trump anaweza kuwa ni mfanya biashara na wakala lala.

Na washawasha!
umri wangu(37) sidhani kama TISS watakuwa teyari kunitrain ndio maana nikasema umri wangu umenitupa mkono ila kama watakuwa teyari narudia kusema hii kazi naipenda sana.
Nalog ofg
 
umri wangu(37) sidhani kama TISS watakuwa teyari kunitrain ndio maana nikasema umri wangu umenitupa mkono ila kama watakuwa teyari narudia kusema hii kazi naipenda sana.
Nalog ofg

Mkuu kwa vile unapenda hiyo kazi labda unaweza kuwa unajua eti stalker ni nini?

Na washawasha!
 
Yes kweli hii intelligence

Mh Rais uzuri wake anapenda kuspeak his mind na alituambia , "we know you by your names" na wala sio user names, verified one. Kwa maneno mengine itelegesia inatujua sana hamna jipya.

Na washawasha!
 
Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Anaitwa nani na yuko wapi tumtumbue..... onesha uzalendo
 
Kuna mwanasheria mmoja wa ile taasisi inayofadhiliwa na wazungu inayoongozwa na mama yetu mmoja hivi aliyekamatwa huko loliondo akiendesha harakati zake za kiundercover ,wana sheria walikuja juu sana na kupiga kelele,ila waelelewa tulikwishajua nn kina endelea, tuwe macho sana na hivi vi taasisi vinavyofadhiliwa na wazungu, vingi sana vimejaza hao watu...
 
Back
Top Bottom