ezedabext
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 378
- 118
Inabidi niitafuteI agree with you asee.. Kuna series inaitwa undercover.. Ni kielelezo tosha.. Ndo dunia lakini akili kumkichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi niitafuteI agree with you asee.. Kuna series inaitwa undercover.. Ni kielelezo tosha.. Ndo dunia lakini akili kumkichwa
Kazi nzuri ila inaonesha ukigundulika madhara yake ni makubwa sana
Ukigundulika haina mswalie mtume.. Ni kitanzi tu baaasi
Namtafuta aliyenidanganya kuwa Tanzania ni ya Tatu kwa ubora kwenye ulimwengu wa ushushu.
Vichaa Tanzania ni mashushushu
wapiga debe mashushushu
yaani kila MTU shushushu na ushushu hawaujui
Jeshi letu lipo vizuri hakuna sleepers agent kama walivyofanya Nigeria na kuwadaka watatu
Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Wewe Dodoma chamwino karibu karanga nyingi sana. mihanyenyi agweeUmeshajiita igwee tayr ww ni wa nigeria
Unaanzaje kugundulika sasa, utakua uzembe kazini
usinikunbushe issue ya Ben SaananeKuna kichaa mmoja mwanamke alikua anajua kalenda hatari, anakuuliza ijumaa mwezi wa 7 itakua tarehe ngapi na hapo upo mwezi wa 3, ukikosea tu anakwambia anapiga hesabu anapatia kabisa, wakaanza kusema usalama usalama, dah yule mama alipoteaga gafla tu
Namtafuta aliyenidanganya kuwa Tanzania ni ya Tatu kwa ubora kwenye ulimwengu wa ushushu.
Vichaa Tanzania ni mashushushu
wapiga debe mashushushu
yaani kila MTU shushushu na ushushu hawaujui
Kamuulize El Cohen huko aliko ni nini kilimpata mpka akagundulika na kuishia kunyongwa hadharani.
Wale wanawake ni wazuri bwana acha tu!"Rwanda wamefanikiwa kwa kisai kikubwa tu, dhidi ya Tanzania"
Kiongozi, hongera sana Umetoa Elimu ya maana sana. Ila kitu cha pekee ni raia kuwa na uzalendo kwa Taifa lako
Kitu pekee ambacho hupelekea mataifa wanaotumia Sleeper Agent ku fail ni Uzalendo.
kwa mfano mtu katoka Tz kwa scholarship akarudi nchini tayari kashapandikizwa, kunachangamoto kubwa sana mtu huyu kwa sababu za kiubinadamu kuja kuwasaliti ndugu zake Kaka,dada,mama, baba (Taifa lake)
Sijawahi kufanyakazi ktk idara nyeti za kiusalama ila kunawakati napata maswali mengi sana kwa baadhi ya mambo ninapo yaona au kusikia...naamini wengi wetu mtakuwa mshashuhudia unapita mjini au mitaani unakuta Raia wa kigeni wapo huru kabisa wanapiga picha maeneo yetu, watu, nk. Je umehijiuliza kwa nin wanapiga? na hizo picha zinaenda kutumika wapi?
Kuna story moja alinisimulia mzee mmoja kuna raia wa kigeni walikuja miaka hiyo kama watu wa dini, siku moja wakaenda kutembea milimani wakiwa na wenzake kilichomshangaza ni huyo raia kuwa na Tatoo mgongo wote (ukristo hauruhusu kujichora) kumbe Tatoo hizo ni ramani ambayo inawaelekeza mahali ambapo kunamakaburi, na hayo makaburi kumbe sio ya watu bali ni mahali wakoloni inasemekana walizika mali...
Ni vizuri kuwa na uzalendo na Taifa letu ili sisi na ndugu zetu na mali zetu tuwe salama, kuna mbinu nyingi zilikuwepo, na zina zidi kuongezeka kutokana na maendeleo ya kitecknolojia kuhakikisha mbinu za kijasusi zinakuwa juu sana ndani na nje ya kila Taifa