Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Hii elimu ni hatari sana ikifall to the wrong person,kuna kitabu nilisoma cha espionage,kwa kweli mtu aliyeharibika akipata hiyo elimu wachache watapona.Lakini nilikosa amani baada ya kujua kila kitu kiko monitored,huwezi kujificha completely sana sana kama uko vizuri utajiongezea tu muda wa wewe kubainika.

The other side of it is good, inakusaidie kwa ajiri ya usalama wako na jinsi ya kujikinga.
 
ahsante sana mkuu nitaitafuta hii crime series drama Ili niiangalie au INA maana nyengine kwenye lugha ya espionage?
Nalog off

Looh hatahazijaisha kujengwa ndio mshaanza kuacha watu!!!

Haya mkuu ndio nimesha achwa kwenye flyover za Tazara ni kishangaa.

Na washawasha!
 
Anaitwa nani na yuko wapi tumtumbue..... onesha uzalendo
Mkuu huyu hatuna haja ya kummulika make hana madhara kwa sasa analitumikia Taifa kama wazalendo wengine isipokuwa labda pengine ageuke toka "joka kibisa" hadi "pakashume" there after we will knock him down very sonofabitchilly!
 
kwa mfano sleeper agent wa tz yuko Malawi kama mfanyabiashara anakuwaje double agent wakati wamalawi hawamjui Kuwa yeye Ni spy au yeye atajitambulisha?
kuuliza si ujinga.
Nalog off

Ukilogin utaikuta...

Kuna jamaa alidai maisha yao yapo hatarini pale watakapo gundulika...na side effects zake ni aidha waliompa mission wam burn... au walio mgundua wa muue au pia wampe u agents kwenye hilo group lao yaani a dissolve.. awarudie wa tz na ku likisha info kwa malawi. Ni case za madau au immunities
 
Ukilogin utaikuta...

Kuna jamaa alidai maisha yao yapo hatarini pale watakapo gundulika...na side effects zake ni aidha waliompa mission wam burn... au walio mgundua wa muue au pia wampe u agents kwenye hilo group lao yaani a dissolve.. awarudie wa tz na ku likisha info kwa malawi. Ni case za madau au immunities
ahsante sana kwa majibu yako,nimeshalog in na nimeyaelewa Sasa
Nalog off
 
Ndo maana sina tabia ya kumuamin yeyote, ppolitician wala ngozi wa dini. Kuna watu leo yuko hapa kesho kahamia pale.

Ila nadhani mataifa makubwa hayapati tabu kupata siri za nchi zetu maana ukiacha uganga njaa technology tunazozitumia ni zao watashindwa nini.
 
Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Duh!!! Tusaidie kumjua mkuu. Tum-jasusi...au unasemaje? Tanzania kwanza.
 
Namtafuta aliyenidanganya kuwa Tanzania ni ya Tatu kwa ubora kwenye ulimwengu wa ushushu.
Vichaa Tanzania ni mashushushu
wapiga debe mashushushu
yaani kila MTU shushushu na ushushu hawaujui
Usitubeze sisi Watanganyika-Zanzibar nasi hutuvumi lakini tumo!.
 
Back
Top Bottom