Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsante sana mkuu nitaitafuta hii crime series drama Ili niiangalie au INA maana nyengine kwenye lugha ya espionage?Mkuu kwa vile unapenda hiyo kazi labda unaweza kuwa unajua eti stalker ni nini?
Na washawasha!
kwa mfano sleeper agent wa tz yuko Malawi kama mfanyabiashara anakuwaje double agent wakati wamalawi hawamjui Kuwa yeye Ni spy au yeye atajitambulisha?Itabidi awe double agent...
ahsante sana mkuu nitaitafuta hii crime series drama Ili niiangalie au INA maana nyengine kwenye lugha ya espionage?
Nalog off
Mkuu huyu hatuna haja ya kummulika make hana madhara kwa sasa analitumikia Taifa kama wazalendo wengine isipokuwa labda pengine ageuke toka "joka kibisa" hadi "pakashume" there after we will knock him down very sonofabitchilly!Anaitwa nani na yuko wapi tumtumbue..... onesha uzalendo
kwa mfano sleeper agent wa tz yuko Malawi kama mfanyabiashara anakuwaje double agent wakati wamalawi hawamjui Kuwa yeye Ni spy au yeye atajitambulisha?
kuuliza si ujinga.
Nalog off
ahsante sana kwa majibu yako,nimeshalog in na nimeyaelewa SasaUkilogin utaikuta...
Kuna jamaa alidai maisha yao yapo hatarini pale watakapo gundulika...na side effects zake ni aidha waliompa mission wam burn... au walio mgundua wa muue au pia wampe u agents kwenye hilo group lao yaani a dissolve.. awarudie wa tz na ku likisha info kwa malawi. Ni case za madau au immunities
Hajafanikiwa relax ...."Rwanda wamefanikiwa kwa kisai kikubwa tu, dhidi ya Tanzania"
Duh!!! Tusaidie kumjua mkuu. Tum-jasusi...au unasemaje? Tanzania kwanza.Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
kwamba bwana yule nae ni mmoja wapoHii njia ni nzuri sana
Nafikiria jambo hapa
Wenye kazi zao watamshughurikia make naamini sio vibogoyo!Duh!!! Tusaidie kumjua mkuu. Tum-jasusi...au unasemaje? Tanzania kwanza.
Unahangahika na huyo wa nini?Anaitwa nani na yuko wapi tumtumbue..... onesha uzalendo
Usitubeze sisi Watanganyika-Zanzibar nasi hutuvumi lakini tumo!.Namtafuta aliyenidanganya kuwa Tanzania ni ya Tatu kwa ubora kwenye ulimwengu wa ushushu.
Vichaa Tanzania ni mashushushu
wapiga debe mashushushu
yaani kila MTU shushushu na ushushu hawaujui
Mwenye kufahamu hivi hawa watu mashushu wanalipwa kiasi gani kwa hapa Bongo kwakuanzia mbona kazi ngumu sanaJe yule aliokimbilia mbali nae sijui alikua wa wapi yule ngozi yake ilikua na mabaka mabaka hivi