Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Hakika mkuu🤣🤣🤣hizi zilikua na bando zake kama kumbukumbu ziko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu🤣🤣🤣hizi zilikua na bando zake kama kumbukumbu ziko sawa
zilikua na kagololi kakupeleka mshale kas na kus nakumbuka izo simu hata betri zilikua na namba na haziingiliani pia bluetooth ni blackber kwa blackberHakika mkuu🤣🤣🤣
Mmeulizwa smartphone mnataka kutuonyesha mmeanza lini kutumia simu.Sikumbuki maswala ya Model maana enzi hiyo nlikua sijui hizo mambo za model mimi.
1.Siemens
Haikua yangu nili irithi toka kwa bi mkubwa nakumbuka alinyeshewa na mvua ikaloana akaisusa, nikaishi nayo mara pap natoka shule hyo siku kitu kinawaka. Ndio ikawa yangu tena.
2.Motorola
Sijui maswala ya model narudia najua tu jina, ilikua ndio kitu yangu ya kwanza kutoa hela mfukon ilikua Nyembamba mithili ya Nokia Express Music, nilinunuaga sijui sh ngap ila it costed me kwa kipindi ile nilisumbua mno mno mno.
Nikiweka Memory yangu ndani tunasikiliza mziki Dom zima, Enzi hzo simu natumia kwa mziki tu.
mana sijawahi kupgiwa simu tangu ninunue simu,kwanza nani anipigie.
Kizazi kipya mna tabu sana, pambaff
Basi nimekumbuka, 2008/9 smart zilikuwepo ila ma-whatsapp ndo yalikawiaWewe ndio ulikuwa huna au ulikuwa kijijini. Mwaka huo Mimi natumia Samsung galaxy S1900
Hii ni kama umewahi kuisema kwenye stori yako fulaniHuawei Y511 Mlimani City kwenye promosheni ya Tigo hapo ni baada ya kuvunja vibubu vyangu vitatu tofauti tofauti nilichukua 195000 kama sijakosea ila haikuvuka laki 2
Khaa[emoji1787]hapo voda bado wanavocha za kuchana kama paketi ya condom
Dah nimechekahizohizo ukizipiga na toch kali unasoma namba zote za ndani
SaafiIduos Google na Blackberry curve [emoji1]🫡