Smart phone yako ya kwanza kutumia ilikuwa aina gani?

Smart phone yako ya kwanza kutumia ilikuwa aina gani?

Blackberry ilikua unyama sana kizazi cha sahv hawawezi kuzielewa hzo cm 😀😀
Watu wa blackberry mlikuwa special mlisumbua sana 😅😅..

Kuna dogo nimemuwazia maana kipind hicho mzee wake walikuwa mjeda na wapo wawili yeye wa mwisho ndo alinunuliwa hiyo simu na mwenzie ni wa kike ,basi alikuwa wa kishua.

Mzee wake alistaafu mwaka 2010 kuja mbele huku maisha yalimpigq balaa mpaka akawa bodoboda ,basi alikuwa na blackberry alikuta wakishua sana aisee😅😅.
 
Watu wa blackberry mlikuwa special mlisumbua sana [emoji28][emoji28]..

Kuna dogo nimemuwazia maana kipind hicho mzee wake walikuwa mjeda na wapo wawili yeye wa mwisho ndo alinunuliwa hiyo simu na mwenzie ni wa kike ,basi alikuwa wa kishua.

Mzee wake alistaafu mwaka 2010 kuja mbele huku maisha yalimpigq balaa mpaka akawa bodoboda ,basi alikuwa na blackberry alikuta wakishua sana aisee[emoji28][emoji28].
Mastaa au wenye hizo simu wakiingia mtandaoni wanaandika "Meet me on BB"

Anaweka code pale, wengine mnazubaa tu.

Madogo washukuru hizi simu hazibagui mitandao kuna wengine tusingebishana nao humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa blackberry mlikuwa special mlisumbua sana 😅😅..

Kuna dogo nimemuwazia maana kipind hicho mzee wake walikuwa mjeda na wapo wawili yeye wa mwisho ndo alinunuliwa hiyo simu na mwenzie ni wa kike ,basi alikuwa wa kishua.

Mzee wake alistaafu mwaka 2010 kuja mbele huku maisha yalimpigq balaa mpaka akawa bodoboda ,basi alikuwa na blackberry alikuta wakishua sana aisee😅😅.
hizi simu bwana zilikua na bando la tigo No mb wala nini 24hr internet Unatumia mpk unachoka 😂😅😅
 
Nokia_Asha_200.png

Nokia Asha 200. Enzi niko Form five. Nikaja kumhonga demu wangu wa form three.
 
View attachment 2725367
Hii ndio smartphone proper niliyoanza kutumia. LG Optimus L3. Mwaka 2012 hiyo still nikiwa nayo nikaja honga mwanamke.
LG L3 E400 ilikuwa mwaka 2013 ndio nimeanza chuo first year, nakumbuka kwa darasa letu kipindi cha orientation nilikuwa na smartfone peke yangu na huyo dada alikuwa na samsung min pocket kale kadogo.
Mimi yangu ilikuja kuzima tuu ghafla nikapeleka kwa fundi Ubungo pale akanizungusha wee mara anasubiri vifaa kutoka Kenya, mpaka leo nimeshamsahau hadi sura na simu nikamuachia.
 
Kwa mara ya kwanza niliingia dukani kununua Nokia N73 nilikuwa naipenda mno upande wa Camera.. Bahati mbaya haikumaliza hata wiki nikaisahau kwenye daladala..
 
Back
Top Bottom