Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Chief Mkwawa na wataalam wengine ndani ya jukwaa pendwa naomba kueleweshwa kuhusu smartphone yenye Internal memory 4GB halafu ina uwezo hadi 64 !


Je kwa simu hii ikiwa na vitu hivi toka Play store
Whatsapp
Callblocker
Tomcat
Bible
NQ security
Vaulty
Camscanner
Telegram
Soundhound
Goal.com
Barcode
Tubemate
Ningependa kujua kwa ukubwa wa hivi vitu vinapohitaji update havitaifanya simu siku za mbeleni kusema Insafficient memory(Remove some app)

inatosha kaka 4gb kwa hizo app ila media eka kwenye memory card
 
Kaka nimepata bonge la elmu ubarkiwe sana .hiv sim gan LG inayochezea laki 1.5 mpaka 3 ambayo stajuta sana kuimilk
 
niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za bei rahisi za android mwaka 2012 lakini sasa hv imepitwa na wakati na siku zimesogea mbele watu wameomba ile thread tuiupdate ili waweze kufanya maamuzi tena. nimeona nichague simu best za windows phone na android ambazo ni za bei rahisi (chini ya laki 3) ambazo unaweza kutumia ukapata perfomance kubwa kiasi usahau kama ni simu ya bei rahisi nimetumia vigezo vifuatavyo

1. power ya simu -interms ya processor, ram na gpu
2. support- kama itakua updated kwenda version nyengine
3. camera
4. storage
5. battery
6. display
7. weakness zake
mambo kama speed ya internet yamepitwa na wakati simu zote sku hzi zina hspa hivyo speed ipo kama simu ipo slow ni wewe eneo ulipo na mtandao wako ndio munahusika.

hizi hapa ndio simu za bei rahisi nilizokusanya.

nokia lumia 520
kama hujali kutotumia android huwezi pata simu bora zaidi ya lumia 520 kwa bei rahisi, imeuza unit zaidi ya milioni 25 naweza kusema ndio simu maarufu ya bei rahisi zaidi duniani.
nokia-lumia-520.jpg


why ununue hii simu?
1.power- ina processor kubwa kabisa ya s4 snapdragon 1ghz dualcore krait cortex a15, ram 512mb (ipo version ya 1gb inaitwa lumia 525) na gpu yake ni adreno 305
2.suport- simu hii ina windows phone 8 na mwez wa 6 itapata update ya windows phone 8.1
3.camera- ina 5megapixel bila front camera wala flash
4.storage- ina internal 8gb na inakubali memory card
5.battery- 1430mah
6.display- kioo ni 4inch wvga 480x800

weakness zake
1.haina flash ya camera wala camera ya mbele
2. ina apps chache kuliko android

motorola moto e
imezinduliwa muda sio mrefu na ni moja kati ya simu nzuri za bei rahisi inayokupa ram ya 1gb, hebu tuone inapambana vipi na wenzake
motorola-moto-e.jpg


why ununue hii simu
1.power- processor ya 1.2ghz cortex a7 dualcore snapdragon 200 ikiwa na ram 1gb na gpu ya adreno 302
2. support- simu hii inakuja na android kitkat 4.4.2 na motorola wamesema itapata update zijazo
3.camera- ina camera 5mp bila flash wala camera ya mbele
4.storage- simu hii inakuja na internal storage ya 4gb na inaingia memory card
5.battery- 1980mah
6. diplay- ina kioo cha 4.3 inch qhd resolution ya 540x960 kioo chake pia kina gorila glass 3

weakness
1. haina flash wala camera ya mbele
2.processor za cortex a7 zimepitwa na wakati

sony xperia e1
sony nao hawakua nyuma kutoa simu nzuri ya bei ya chini tuangalie nayo ipoje
sony-xperia-e1.jpg


ina sifa hizi
power- ipo kama moto e ikiwa na dualcore 1.2ghz cortex a7 na adreno 302 sema hii ina ram 512mb
support- simu hii inakuja na android 4.3 na itapata update ya kitkat
camera-ina 3mp bila camera ya mbele
storage- ina internal 4gb na memorycard inaingia
battery-1700mah
diplay- kioo cha inch4 wvga 480x800

weakness
-camera 3mp bila camera ya mbele inapitwa na wapinzani wote
-processor cortex a7 ni ya kizaman

blackberry z3
usije kuchanganya na bb z30 hii ni smartphone ya bei rahisi ya blackberry imeanza kuuzwa indonesia specs zake hazina mfano
blackberry-z3-new.jpg

power- inakuja na snapdragon 400 1.2ghz dualcore ram 1.5gb na adreno 305
support-inakuja na bb os 10.2.1 hii ni os yao mpya
camera- camera ya nyuma ni 5mp na ya mbele ni 1.1mp ina uwezo wa kurekodi full hd camera yake.
storage-ina internal 8gb na inaingia memory card
battery- 2500mah
display- inakuja na kioo 5inch chenye qhd 540x960

weakness yake ni kwamba bbos haina native apps nyingi compare na wp, android na ios japo ina uwezo wa kufungua android apps

hizo hapo juu ndio simu nne ambazo nimeona ndio best kwa simu za bei ya chini. kama unataka dualsim kwenye windows phone kuna lumia 635 sijaieka sababu inafanana vitu vingi na hio 520 na bei yake pia ni kubwa kidogo. kuna baadhi ya simu nyengine nzuri nitazimention sijazieka sababu nimeona hazifai kuwa hapo juu.

1.nokia x, x+ na xl sijazieka sababu ya processor ndogo kama huna matumizi makubwa unaweza kuzinunua
2. motorola moto g sijaieka sababu zinauzwa bei kubwa kidogo
3. samsung duos na trend series sijazieka sababu touchwiz ni nzito kwa simu za bei ya chini
4. sijaeka simu yoyote ya mediatek sababu zinacorupt imei, huwezi kuzi update na ni inferior kwa simu za qualcom (simu za mediatek ni kama tecno, galaxy clone, itel na wengineo)
5. huawei y300 pia sjaieka sababu ina processor kama ya nokia x series hivyo kama huna matumizi makubwa haina neno.

kama kuna simu unayoona inafaa iwepo na sijaiweka unaweza kuitaja

Mzee umepangua hivyo vilonga longa si mchezo, mpaka tongo tongo na makapi yote yametoka.!
Aiseh hyo blackberry nmeipenda nadhani nikipata masurufu nitajitahdi kuitafuta.!
Vp Mzee una duka la simu ninii.? Au unajuana na wauzaji vilonga longa? Uko deep ktk maelezo.!
 
chief-habari
nilikuwa nakumbushia kutujuza zile dizain za kuflash cm bila kutumia computer .
tujuze ndugu zako nina kuomba mkuu.
 
chief-habari
nilikuwa nakumbushia kutujuza zile dizain za kuflash cm bila kutumia computer .
tujuze ndugu zako nina kuomba mkuu.

kama simu yako inawezekana kuroot bila kutumia pc basi kuflash sio kazi maana 100% unaweza fanya kwa simu.

google namna ya kuroot simu yako then ukisharoot install rom manager halafu tumia hio kueka cwm au twrp halafu utadownload rom ya simu ikiwa katika mfumo wa zip utaeka kwenye folder unalolikumbuka then utaboot kwenye recovery halafu utachagua install zip from sd card then utachagua ile rom, simu itajiflash.

kama unachange rom za watu tofauti mfano unachange ya samsung kwenda cyanogen itabidi uwipe data na cache kwanza
 
chief-mkwawa@ ungetuwekea angalau wastani wa bei zake, na maeneo ambayo tunaweza zipata original za ukweli hizi simu -ili tusiumizwe vibaya. Usituchoke mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Vp kuhusu huawei Y530 uwezo wake ukilinganisha na hizo motto e na unaweza ku update kwenda kitkat?
 
kama simu yako inawezekana kuroot bila kutumia pc basi kuflash sio kazi maana 100% unaweza fanya kwa simu.

google namna ya kuroot simu yako then ukisharoot install rom manager halafu tumia hio kueka cwm au twrp halafu utadownload rom ya simu ikiwa katika mfumo wa zip utaeka kwenye folder unalolikumbuka then utaboot kwenye recovery halafu utachagua install zip from sd card then utachagua ile rom, simu itajiflash.

kama unachange rom za watu tofauti mfano unachange ya samsung kwenda cyanogen itabidi uwipe data na cache kwanza

na mimi nimepata somo chief-mkwawa
sasa lkn chief-mkwawa kama n sim za mediatek chip si ndo zitacorupt kabisa au msaada plz
 
Last edited by a moderator:
chief-mkwawa@ ungetuwekea angalau wastani wa bei zake, na maeneo ambayo tunaweza zipata original za ukweli hizi simu -ili tusiumizwe vibaya. Usituchoke mkuu.

simu zote ni chini ya laki 3 kaka na bei halisi ni around laki 2. Sipati muda wa kuzunguka madukani ila zipo
 
Last edited by a moderator:
Vp kuhusu huawei Y530 uwezo wake ukilinganisha na hizo motto e na unaweza ku update kwenda kitkat?

kaka nimeicheki, kusema ukweli nilikua siifahamu. Ukitoa ram yake ya 512mb ni simu nzuri inastahili kuwa hapa. Nikipata muda nita update thread na kuiweka. Kuhusu kwenda kitkat hii simu ina chip sawa na moto e ambayo ina kitkat hivyo naweza sema unaweza update. Ila still ni huawei ndo watatakiwa watengeneze rom ya kitkat
 
Back
Top Bottom