Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Windows phone.
Kwa hapa TZ wanauza bei gani hiyo lumia 520?
Je, lumia 525 hapa bongo tyr imefika? Na kama imefika ni bei gani?

lumia 520 na lumia 525 zinapatkana bongo,tena kwa wingi,bei yake inafanana,ni kuanzia 200,000 hadi 250,000. Inategemea na duka,kila duka wana bei yake ila haizidi hapo mkuu.
 
lumia 520 na lumia 525 zinapatkana bongo,tena kwa wingi,bei yake inafanana,ni kuanzia 200,000 hadi 250,000. Inategemea na duka,kila duka wana bei yake ila haizidi hapo mkuu.

Asante mkuu
 
Chief kwa faida ya wengi naomba uweke reviews na recomendation low budget windows phone. Isaidie watu kubadilika, android iko overated sana, sijui ni kwa sababu ya kuwa na free apps nyingi au kuwa open source hivyo kupelekea developers wengi kujikita huko au ni aje. Maana kwa uchunguzi na reviews za mitandaoni, simu zenye specs sawa, moja ikiwa windows na nyingine android platform, utaona perfomance results kubwa katika simu za windows.

So kwa uzoefu, weka WP kama 10 hivi based on low budget, ukianzia Lumia 520 na 525
 
Chief kwa faida ya wengi naomba uweke reviews na recomendation low budget windows phone. Isaidie watu kubadilika, android iko overated sana, sijui ni kwa sababu ya kuwa na free apps nyingi au kuwa open source hivyo kupelekea developers wengi kujikita huko au ni aje. Maana kwa uchunguzi na reviews za mitandaoni, simu zenye specs sawa, moja ikiwa windows na nyingine android platform, utaona perfomance results kubwa katika simu za windows.

So kwa uzoefu, weka WP kama 10 hivi based on low budget, ukianzia Lumia 520 na 525

Mkuu umenena, Andoid mpaka inakera aisee.
 
Mkuu umenena, Andoid mpaka inakera aisee.

Kaka windows inarun smooth sana katika simu, no bugs no hangups wala haiko nzito. Tofauti na android, android hata iwe na specs kubwa kiasi gani. Hivi vitu vikikutokea usishangae, ni kawaida kwa android.
 
MKUU Mkwawa nahitaji kununua Nokia XL, vipi inafaa kweli?
 
1.Napenda kufahamu njia nyepesi ya kugundua kuwa hii simu ni MEDIATEK nikiwa nipo Dukani nanunua. 2. HUAWEI ORIGINAL NZURI DUAL SIM. 3. SMARTPHONE NZURI YOYOTE DUAL SIM.
kama una matumiz madogo haina neno, kama una matumizi makubwa haifai
 
1.Napenda kufahamu njia nyepesi ya kugundua kuwa hii simu ni MEDIATEK nikiwa nipo Dukani nanunua. 2. HUAWEI ORIGINAL NZURI DUAL SIM. 3. SMARTPHONE NZURI YOYOTE DUAL SIM.

download app inaitwa cpu z kujua specs za simu au unaweza kwenda na simu ya net ukawa unagoogle.

hizo simu hapo juu ni dual sim
 
Kaka windows inarun smooth sana katika simu, no bugs no hangups wala haiko nzito. Tofauti na android, android hata iwe na specs kubwa kiasi gani. Hivi vitu vikikutokea usishangae, ni kawaida kwa android.

Huu ni ukweli usiopingika mkuu.
 
Chief mie natumia huawei Y511-T00 tatizo hasupport huduma nyingi za google kama vile google play store,youtube na nyinginezo halafu inabaadhi ya apps zipo kwa kichina msaada mkuu ili niweze kutumia hizo apps za google

kaka eka tu store nyengine kama 1mobile market na amazon app store zitafanya kazi kama playstore. Kama still unataka playstore itabidi uroot then ueke cwm au twrp then uflash google play service package ndio utapata app za google
 
Back
Top Bottom