Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

jamani mimi htc wildfire yangu imekufa system of charge nifanyaj kuuza kwa mafundi na j niiuze shngap
 
Mkuu chief-mkwawa hii Nokia N9 inapatikana kwa sh ngapi kwa sasa maana nimeipenda kama zipo madukani naomba unielekeze au Nokia 701
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chief-mkwawa hii Nokia N9 inapatikana kwa sh ngapi kwa sasa maana nimeipenda kama zipo madukani naomba unielekeze au Nokia 701

kaka sifahamu kama kuna maduka yanauza hizo simu labda utafute za mkononi. na hata ukiyapata ujue bei itakuwa kubwa
 
Last edited by a moderator:
kaka sifahamu kama kuna maduka yanauza hizo simu labda utafute za mkononi. na hata ukiyapata ujue bei itakuwa kubwa

Asante,halafu naomba unielekeze namna ya kupiga simu ya video kwenye Lumia 620 maana hata setup ya video call siioni PIA hakuna option ya video call au ndo haisurport NB:Hii ndo Mara yangu ya kwanza kutumia windows phone ILA nimeipenda maana Ni nyepesi tofauti na android ambayo ilikuwa nzito
 
Mimi nataka kununua Tecno R7...kama kuna mtu kishatumia au anaifahamu vzr aniambie kama inafaa
 
chief mkwawa nina htc desire 400 ilikuwa na tatizo la maandishi kwenye screen yanatikisika nimepeleka kwa fundi amenambia display yake imekufa, sasa naweza kupata display yake na ikafanya kazi vizuri kam mwanzo? na naweza kuibdlishia wap mi nipo kibaha
 
chief mkwawa nina htc desire 400 ilikuwa na tatizo la maandishi kwenye screen yanatikisika nimepeleka kwa fundi amenambia display yake imekufa, sasa naweza kupata display yake na ikafanya kazi vizuri kam mwanzo? na naweza kuibdlishia wap mi nipo kibaha

Mkuu nipm namba yako nikutafute.
 
CHIEF MKWAWA naomba unipe info muhimu kuhusu TECNO P5 yaani uzuri wake na hasara yake. Pia nataka kujua kama TECNO P5 zipo tofauti tofauti au vipi? maana kuna moja nimeona uki-play video online inasumbua sana(inachukua muda mrefu) ila nyingine ina-play haraka na bila usumbufu.
 
Last edited by a moderator:
Asante,halafu naomba unielekeze namna ya kupiga simu ya video kwenye Lumia 620 maana hata setup ya video call siioni PIA hakuna option ya video call au ndo haisurport NB:Hii ndo Mara yangu ya kwanza kutumia windows phone ILA nimeipenda maana Ni nyepesi tofauti na android ambayo ilikuwa nzito

tumia app kama oovoo, skype, viber kufanya video calling
 
CHIEF MKWAWA naomba unipe info muhimu kuhusu TECNO P5 yaani uzuri wake na hasara yake. Pia nataka kujua kama TECNO P5 zipo tofauti tofauti au vipi? maana kuna moja nimeona uki-play video online inasumbua sana(inachukua muda mrefu) ila nyingine ina-play haraka na bila usumbufu.

hilo ni tatizo la network na sio simu hakikisha simu yako umeeka 3g juu iwe inaonesha alama ya 3g/h/h+
 
Last edited by a moderator:
Samsung galaxy y duos kwa 110k iko pouwa kbx chek me throgh 0719210905
 

Attachments

  • 1411479961478.jpg
    1411479961478.jpg
    18.7 KB · Views: 214
Habari zenu. OFF TOPIC: Samahanini, kuna uzi nautafuta humu. Mwenye kuujua naomba anipe link. Ni kuhusu smartphones, kuna mtaalam alikuwa amependekeza smartphones nzuri na affordable, alielezea mazuri na mabaya ya hizo smartphones. Kama niko sahihi nafikiri alikuwa chief-mkwawa, nataka nizipitie, mwezi ujao naweza enda tafuta mojawapo. Bado niko ulimwengu wa Blackberry 8520, hivyo si mtaalam wa simu, ningependa nizipitie moja baada ya nyingine katika ule uzi niweze kujua ipi itanifaa. Asanteni.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu. OFF TOPIC: Samahanini, kuna uzi nautafuta humu. Mwenye kuujua naomba anipe link. Ni kuhusu smartphones, kuna mtaalam alikuwa amependekeza smartphones nzuri na affordable, alielezea mazuri na mabaya ya hizo smartphones. Kama niko sahihi nafikiri alikuwa chief-mkwawa, nataka nizipitie, mwezi ujao naweza enda tafuta mojawapo. Bado niko ulimwengu wa Blackberry 8520, hivyo si mtaalam wa simu, ningependa nizipitie moja baada ya nyingine katika ule uzi niweze kujua ipi itanifaa. Asanteni.

uzi ndo huu ila mod ameuunganisha vibaya nenda page ya 2 utaikuta main thread

simu zenyewe ni hizi.
1.moto e
2.nokia x2
3.lumia 525
4.blackberry z3
5.asus zenfon
6.xiaomi redmi 1s

hizo simu 6 hapo juu ndio low end kali na zote zina ram 1gb kupanda tatizo supply yake ni ndogo hivyo inabidi uzitafute sana.

1.lumia 520
2.huawei y530

hizi pia ni nzuri na ni rahisi kuzipata ila zina 512mb ram sema bei pia rahisi. around 200,000 kushuka chini
 
Last edited by a moderator:
uzi ndo huu ila mod ameuunganisha vibaya nenda page ya 2 utaikuta main thread

simu zenyewe ni hizi.
1.moto e
2.nokia x2
3.lumia 525
4.blackberry z3
5.asus zenfon
6.xiaomi redmi 1s

hizo simu 6 hapo juu ndio low end kali na zote zina ram 1gb kupanda tatizo supply yake ni ndogo hivyo inabidi uzitafute sana.

1.lumia 520
2.huawei y530

hizi pia ni nzuri na ni rahisi kuzipata ila zina 512mb ram sema bei pia rahisi. around 200,000 kushuka chini

Dah! Mkuu ASANTE sana na ubarikiwe zaidi.
 
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo.

hata NOKIA XL unaweza ukajaribu kuiona japo inasumbua kidogo katika kuingiza WHATSAPP.....yaani inahitaji uzoefu kidogo kwasabu ya OS yake
 
Back
Top Bottom