With all due respect,Mr.Kusaga the don..Timu yako ni wabunifu sawa hilo sipingi ila tuwe wastarabu kidogo.Ile bibi bomba naona kama ni udhalilishaji tu wa watu muhimu na tunaowaheshimu sana katika jamii zetu africa,kuwachezesha kiuduku,sijui azonto,mara ngololo,hipop,bongo fleva si ustaarabu japo ni haki yako kubuni...zile ni shida tu zinawasumbua wale mabibi ungewasaidia tu bila kuwafanya chanzo cha fedha nadhani ungebarikiwa zaidi...sidhani kama sisi bibi zetu tunawezawafanya vile runingani.‪