Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka shekhe Siyo sababu ukikutana na mtu tofauti a.k.a bokoharam hata miezi sita hutoboiNdoa za siku hizi bwana!
Sasa hio kufuatilia hivyo , haitoshi umekuja kuliweka mtandaoni!
Ndio kusema wanaume tumeshindwa kuzibeba changamoto za kwenye ndoa?
Ni miaka saba sasa bado hamuaminiani mtatoboa miaka 50 ya ndoa kweli kama wazee wetu?
Miaka 7 ya ndoa halafu bado unakagua simu ya mkeo! Una matatizo mkuu.Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam
Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)
Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika
Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka
Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:33 usiku-- wameoga
Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:36 usiku-- wamekula
Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula
Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.
Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.
Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Mpuuze,jikite kwenye kutengeneza uchumi imara yaani ishi kama hujaoa na huna mpango wa kuoa.Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam
Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)
Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika
Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka
Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:33 usiku-- wameoga
Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:36 usiku-- wamekula
Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula
Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.
Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.
Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Kama wanandoa wanajali future ya watoto wao wasichunguzane kwenye simu zao.Kama humpendi mkeo chunguza simu yake
Unisaidie na mimiNitumie namba za mkeo kuna kitu namtumie link akiifungua tu sms anazo chat zitakuwa zinakuja kwako, nipe na yako pia.
TsnCs kuzingatiwa.
ONYO. Sitahusika na chochote utakachoona au kusikiliza pande zenu mbili
😄😄 Msiogope Wadogo zetu, ndoa ni kitu cha muhimu sanaa kikubwa hakikisha unaoa mwanamke unayeweza kumControl kwa kila kitu. Sasa tatizo lenu mnaangalia matrakoh na sura zaidi ya hidden traits.Vijana wanaogopa ndoa Sasa hivi kuliko ukimwi
vumilia jipe muda wa kutosha.Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam
Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)
Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika
Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka
Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:33 usiku-- wameoga
Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada
Mke saa 19:36 usiku-- wamekula
Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula
Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.
Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.
Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Pole sana mkuu kilitokea niniHio nyepesi kabisa hiyo tukisimulia yetu mkuu kama ni wewe utaua mtoto wa mtu
Nimekaa na mke wangu miaka kumi nilimwamini sana lakini tukio nilililo kuja kutana nalo siwezi muamini mwanamke wa aina yoyote ile napigania TU wanangu wasihisi tofauti yoyote mungu akiniweka hai Hadi wakue wamalize masomo Yao ndio labda niwasimulie mkasa mzima wanawake ukiwapenda sana wanakupotezea malengo amini hivyo
Ukimchunguza bata hutamla bali utamuacha aende zake alafu unatafuta kitoweo kingine...Lakini nyara ya serikali(k) si uliikuta ipo salama na unaendelea kuitumia? Ukimchunguza sana bata huwezi kumla! Ukiona manyoya