Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Mimi Nakataa Ndoa ila kwa ilo namtetea mama mjengo. Ishu ndogo labda ulete ushahidi mkubwa.
 
Ni kweli tunaviziana sana. Mmoja pale job amekuwa na kawaida ya kuweka voice record kwenye simu ya mumewe halafu akirudi jioni anahamisha nasikiliza mazungumzo ya mumewe awapo kazini siku nzima. Nadhani kipo anachokivizia😀
Anataka kuvunja ndoa huyo.
 
Wanaume wameisha sasa sms umezikuta wewe, mke wa kwako wewe, watoto wa kwako wewe, house girl wa kwako wewe, nyumba ya kwako wewe… unataka tukupe ushauri mbovu na tuzidi kukupandisha sukari utese watoto tupate dhambi..!!
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Mkuu moja na nusu usiku (19:30Hrs) mbona ni muda wa kawaida sana, tu!? Tena kwq meseji za kawaida za kutaka kutambua hali za watoto kwa wakati huo!?

Mkuu punguza wivu katika vitu ambavyo ni vya kawaida sana. Tumia hekima kumuuliza kitu mkeo. Pengine ungalimuuliza kiujania kuwa siku fulani muda fulani (utaje muda huo na siku hiyo) rafiki yangu alikuona sehemu fulani. Mwache yeye mwenyewe atiririke kwa maelezo yake binafsi.
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Unatombewa blaza
 
Kwakifupi, nimekuja kugundua kuwa being single after marriage is the best chance one can have..ila tu aweze kumudu kuipita salama ile after-breakup period..
 
Bora wewe mkuu kunautata kidogo kwenye ishuyako.
Minimtu wa kutokatoka sana nje ya nchi tarehe 12 nimerudi home kwa mapimziko ya wiki,tarehe 15 nikatoka kwenda kwa washkaji kupata 2, 3 baridi kwakuwa kitambo hatujaonana.
Narudi night bacheki cm ya wife nakuta msj 1 ya happy Valentine, kukagua jina nakutajina la mwanaume, namuuliza mamamtu what's fuc@ hell's this!, anasema haijuinamba.

Naipiga haipatikani mpakanaondoka.

Ilanimemwambia hatujamaliza nikirudi hiikesi itaanza upya.[emoji35]

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Bora wewe mkuu kunautata kidogo kwenye ishuyako.
Minimtu wa kutokatoka sana nje ya nchi tarehe 12 nimerudi home kwa mapimziko ya wiki,tarehe 15 nikatoka kwenda kwa washkaji kupata 2, 3 baridi kwakuwa kitambo hatujaonana.
Narudi night bacheki cm ya wife nakuta msj 1 ya happy Valentine, kukagua jina nakutajina la mwanaume, namuuliza mamamtu what's fuc@ hell's this!, anasema haijuinamba.

Naipiga haipatikani mpakanaondoka.

Ilanimemwambia hatujamaliza nikirudi hiikesi itaanza upya.[emoji35]

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ishu za kitoto utapata stress bure labda uoe maiti
 
Hio nyepesi kabisa hiyo tukisimulia yetu mkuu kama ni wewe utaua mtoto wa mtu
Nimekaa na mke wangu miaka kumi nilimwamini sana lakini tukio nilililo kuja kutana nalo siwezi muamini mwanamke wa aina yoyote ile napigania TU wanangu wasihisi tofauti yoyote mungu akiniweka hai Hadi wakue wamalize masomo Yao ndio labda niwasimulie mkasa mzima wanawake ukiwapenda sana wanakupotezea malengo amini hivyo
Sometimes tunaishi nao kwa ajili ya watoto tunayabeba maumivu ya watoto akili zao zinafanana wote ukifocus nao sana utoboi sometimes ishu nao kama vile unaishi na robot hautoumia
 
Yetu mazito yako ni sawa na mjukuu tu wa matatizo.
Mwanaume kubadili mwanamke kuoa mwingine ni sawa na kubadili kinywaji tu ulikuwa unakunywa Pepsi siku hizi unatumia coca-cola
 
Back
Top Bottom