Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Uwe unarudi nyumbani bila kutoa taarifa.. One day unaweza kupata unachokitafuta

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Mlipe Posho Za siri House Girl atakupa ramani za mkeo anachofanya ukiwa haupo
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
zingatia hapo
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Umekuja kujipanikisha, kama ni kula washakula.

Ushahidi huna na uhakika huna.

Mda huo usikute unamchepuko na mnamkula hata 6 ila huoni hata wivu.. mkeo yuko na kajamaa kamoja tu , yaani mko wawili tu.

Namaaniisha? Ukishaona jitahidi utimize haja za mkeo Kisha mengine mwachie yeye. Kikubwa zidi kuongea nae matamanio Yako, ajue haswa hupendi usariti na wewe uoneshe huna chembechembe za mchepuko.
Kuchapiwa ni Siri ya ndani
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Kama user name yakoinavyosema, Majuto ni mjukuu,kwa kifupi kabisa umetombewa na unaendelea kutombewa,the game is brutal but still fair, umeoa majuto ni mjukuu
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
PIGA MITI dada wa kazi, atakueleza kila kitu.
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Ya saa moja unalalamika!
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Piga chini huyo ngedere wa mjini
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Kwa nini usimuulize dada wa Kazi akuelezee, mbona kama unautafuta ugomvi na mke wako Kwa nguvu zote?
 
Ulikosea Sana Kumuuliza Mkeo Sasa Kwa Kosa Hilo Inabidi Ulilipie Hivyo Kwa Vyovyote Vile Samehe Ila Usisahau.

Ulichotakiwa Kufanya Ungeanzisha Uchunguzi Wa Siri.
Na Ungeanzia Kwa Dada Wa Kazi Ungejaribu Kumweka Karibu Na Viofa Vidogo Vidogo Huku Ukimwambia Asimwambie Mkeo Au Ahakikishe Mkeo Hajui Chochote Alafu Siku Unamtoa Out Kwa Siri Huko Sasa Ndo Ungepata Full Data.
Ila Una Halaka Sana Na Kwa Halaka Hizo Hata Umfumanie Huna Cha Kumfanya Hivyo Ushauri Wangu Acha Kumfuatilia Kwa Kuwa Unaonyesha Unampenda Sana.
 
Nitumie namba za mkeo kuna kitu namtumie link akiifungua tu sms anazo chat zitakuwa zinakuja kwako, nipe na yako pia.
TsnCs kuzingatiwa.
ONYO. Sitahusika na chochote utakachoona au kusikiliza pande zenu mbili
Mkuu Ni kweli au unatuleta tu? Natafuta Sababu tu hapa Nipigie mtoto wa mtu chini
 
Wanandoa wanaviziana sana!
Ni kweli tunaviziana sana. Mmoja pale job amekuwa na kawaida ya kuweka voice record kwenye simu ya mumewe halafu akirudi jioni anahamisha nasikiliza mazungumzo ya mumewe awapo kazini siku nzima. Nadhani kipo anachokivizia๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom